Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Kutokana na jinsi kiuno chake kilivyo chembamba sana watu wengi ambao huona picha zake hudhania labda ni picha za kutengenezwa kwa kutumia photoshop lakini ukweli ni kwamba mwanamke huyu yupo kweli duniani na ndiye anayeshikilia rekodi ya dunia ya binadamu mwenye kiuno chembamba kuliko wote duniani. Pichani Cathie Jung mkazi wa Connecticut Marekani ndiye anayeshikilia rekodi ya kuwa na kiuno chembamba sana kuliko watu wote duniani akiwa na kiuno chenye ukubwa wa inchi 15 (sentimeta 3 tu)http://www.nifahamishe.com/photos_news.aspx?topic=145