Mwanamke mwenye HIV-Positive aukumiwa kwenda jela baada ya kumnyonyesha mtoto wa jirani yake.

kwamtoro

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
4,922
3,234
Mwanamke wa kizibwamwe. Miaka 39 Annie Mpariwa ambaye amemnyonyesha mtoto wa jirani yake bila ruhusa amefungwa miaka 2 jela kwa kosa la kutaka kumwambukiza mtoto wa jirani yake HIV+. Kesi Imesomwa kwa muda wa miezi mitano baada ya mtoto kupimwa mara mbili na kukutwa HIV Negative.

Mpariwa amehukumiwa wiki iliyopita, endapo mtoto angekutwa positive hukumu yake ingekuwa kubwa sana. Mama wa mtoto wa miezi 14 anasema, alimuona mtoto wake akinyonyeshwa na jirani yake ilikuwa mbaya sana kwake.

Amesema jirani yake alimbeba mtoto wake kwa haraka pindi mtoto akiwa anacheza njee na kumficha chumbani kwake. Baada ya kumtafuta mtoto kwa muda kidogo, nilienda kugonga katika chumba cha Mpariwa na sukupata kujibiwa. Nikaamua kuchungulia kupitia upenyo wa dirishani, nikamuona Mpariwa akimnyonyesha mtoto wangu.

Nilishikwa na mshutuko sana . Baada kuona maziwa katika mdomo wa mtoto wangu nilikaribia kuzimia.

Hii inasikitisha sana. Kama wewe ndiye mzazi wa mtoto, nini ungefanya?

Source

TrendySturvs Blog!: Photo: HIV Positive Woman Arrested For Breastfeeding Neighbour's Baby



 
Hujambo kwamtoro? Unajua kuna mambo mengine ambayo kabla hujafanyiwa inakuwa ngumu kusema ungefanyiwa ungefanyaje! huo ni mtihani huwezi kuandaa majibu hadi uwe ndani ya mtihani. HAPPY CHRISTMAS!
 
Last edited by a moderator:
Hujambo kwamtoro? Unajua kuna mambo mengine ambayo kabla hujafanyiwa inakuwa ngumu kusema ungefanyiwa ungefanyaje! huo ni mtihani huwezi kuandaa majibu hadi uwe ndani ya mtihani. HAPPY CHRISTMAS!
Kweli kabisa, mara nyingine binadamu unaweza kuwa auna roho ya kikatili, punde vitu kama hivi vikakufanya uzaliwe upya na roho ya kinyama.

Thankx for Christmas wish.
Merry Christmas Fill up your life with love, compassion, tolerance, peace and happiness.
Merry Christmas! my...... Happiness win



 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni roho ya kishetani...maombi ni muhimu! Yani ni kama vile mtu anavyochukua maamuzi ya kujiua...ndio
Hicho kitendo cha huyo mama!
 
Cha kushukuru ni huyo mtoto hajaathirika tu ingawa mama yake pia ametumia busara kuviachia vyombo vya sheria.
 
Back
Top Bottom