Huu ni uongo mtupu, Eva alitolewa peke yake katika ubavu wa Adam. Ni sawa kabisa inabidi kama mwanaume anaweza kuwa na wake wengi basi naye mwanamke aweze naye kuwa na wanaume wengi...tatizo ni pale hii imepitishwa kihalali especially kwa wenzetu waislamu. Cha kushangaza wanawake wao balaa kweli kweli ambayo imepelekea sasa kuambukiza na wanawake wa kiktristo. Hamna cha kuhalalisha wala nini, ndo wanazidi kuzaa nje ya ndoa zao na kuwa na viserengeti boyz. Mimi naona ni bora tuu wangehalalisha watu muone kama mwanamke anashindwa kuwa na njemba hata tano kwa mpigo. Kama ukiangalia kwa undani kwa sasa, ni wanaume wachache wanaoweza kupiga zaidi ya one goal kwenye mechi ya 6 by 6...nani anabisha! so one woman anao uwezo wa kuhimili from 3 to 4 goals a day au hata zaidi. Naona hili kwa kweli liangaliwe kwa undani na wao wapewe nafasi sawa na wanaume.Hii mwanzo wake ni tangu enzi za uumbaji, Mwanamke alitokea ubavuni mwa mwanaume kwa iyo inawezakana zaidi ya mwanamke mmoja walitolewa ubavuni mwa mwanaume lakini mwanamke mmoja hakuweza kutolewa toka ubavu wa zaidi ya mwanaume mmoja. this is reflection! think critically you will see the logic!
ni wanaume wachache wanaoweza kupiga zaidi ya one goal kwenye mechi ya 6 by 6...nani anabisha!.
so one woman anao uwezo wa kuhimili from 3 to 4 goals a day au hata zaidi.
hujakutana na vifaa......unaongelea single goal? kwa kawaida ni 2 in 1 then yanaanza magoli ya skills kama ya zidaneni wanaume wachache wanaoweza kupiga zaidi ya one goal kwenye mechi ya 6 by 6...nani anabisha!
hujakutana na vifaa......unaongelea single goal? kwa kawaida ni 2 in 1 then yanaanza magoli ya skills kama ya zidane
Kati ya 100 pengine wa 5 ndo wanaoweza hizo mbio za marathon. Nilishakutanaga naye enzi za usichana mmoja kati ya karibu 30 na ushee hivi.hujakutana na vifaa......unaongelea single goal? kwa kawaida ni 2 in 1 then yanaanza magoli ya skills kama ya zidane
Mpo ndugu ila wachache sana, nyie ni wale mliozaliwanga zizini sio wale wa sasa hivi Mwananyamala hospital.hehehehehe...ana bahati mbaya sana huyo....ndio maana nimemwambia asiandikie mate wakati wino upo...
tatizo lenu watoto wa mujini mnatafuta ile mijizee yenye vitambi kisa inawapa magari mekundu.......inafunga goli kizeeembe sometimes hata golikipa hayupo inapaisha juu......Kati ya 100 pengine wa 5 ndo wanaoweza hizo mbio za marathon. Nilishakutanaga naye enzi za usichana mmoja kati ya karibu 30 na ushee hivi.
lol umetumika sana isee.....experiencedNilishakutanaga naye enzi za usichana mmoja kati ya karibu 30 na ushee hivi.
Huu ni uongo mtupu, Eva alitolewa peke yake katika ubavu wa Adam. Ni sawa kabisa inabidi kama mwanaume anaweza kuwa na wake wengi basi naye mwanamke aweze naye kuwa na wanaume wengi...tatizo ni pale hii imepitishwa kihalali especially kwa wenzetu waislamu. Cha kushangaza wanawake wao balaa kweli kweli ambayo imepelekea sasa kuambukiza na wanawake wa kiktristo. Hamna cha kuhalalisha wala nini, ndo wanazidi kuzaa nje ya ndoa zao na kuwa na viserengeti boyz. Mimi naona ni bora tuu wangehalalisha watu muone kama mwanamke anashindwa kuwa na njemba hata tano kwa mpigo. Kama ukiangalia kwa undani kwa sasa, ni wanaume wachache wanaoweza kupiga zaidi ya one goal kwenye mechi ya 6 by 6...nani anabisha! so one woman anao uwezo wa kuhimili from 3 to 4 goals a day au hata zaidi. Naona hili kwa kweli liangaliwe kwa undani na wao wapewe nafasi sawa na wanaume.
Ok hatujakataa ni nature, lakini huoni sasa na wao wanaingia kwenye hiyo nature kisirisiri (kuzaa nje ya ndoa) ambayo ndo inatawala sana kwa sasa!Mwanamke Mume mmoja,Mwanaume Wake wengi!
this is nature bana!there is no way u can avoid this!just go back to the bible
Ok hatujakataa ni nature, lakini huoni sasa na wao wanaingia kwenye hiyo nature kisirisiri (kuzaa nje ya ndoa) ambayo ndo inatawala sana kwa sasa!
DNA yaibua mifarakano ya kifamilia
Kati ya wanandoa 250 waliotinga kupima mahusiano ya chembechembe za damu na watoto DeoxyriboNucleic Acid DNA, ni asilimia 40 tu waliofanana na watoto wao.
Wengine wote yaani asilimia 60 waliobakia waligundulika kulea watoto waoamini kuwa ni wao kumbe sivyo.
Hii mwanzo wake ni tangu enzi za uumbaji, Mwanamke alitokea ubavuni mwa mwanaume kwa iyo inawezakana zaidi ya mwanamke mmoja walitolewa ubavuni mwa mwanaume lakini mwanamke mmoja hakuweza kutolewa toka ubavu wa zaidi ya mwanaume mmoja. this is reflection! think critically you will see the logic!
Kama ukiangalia kwa undani kwa sasa, ni wanaume wachache wanaoweza kupiga zaidi ya one goal kwenye mechi ya 6 by 6...nani anabisha! so one woman anao uwezo wa kuhimili from 3 to 4 goals a day au hata zaidi.
Naomba nielimishwe?Aina zote za ndoa(Kikristo,Kiislamu,kijadi na kiserikali)zinaruhu ndoa kwa Mwanaume Mke mmoja au wengi na Mwanamke Mume mmoja.Kama mwanaume anaruhusiwa kuoa Wake wengi kwanini Mwanamke asiwe na Waume wengi?Je kuna usawa hapo?
Huu ni uongo mtupu, Eva alitolewa peke yake katika ubavu wa Adam. Ni sawa kabisa inabidi kama mwanaume anaweza kuwa na wake wengi basi naye mwanamke aweze naye kuwa na wanaume wengi...tatizo ni pale hii imepitishwa kihalali especially kwa wenzetu waislamu. Cha kushangaza wanawake wao balaa kweli kweli ambayo imepelekea sasa kuambukiza na wanawake wa kiktristo. Hamna cha kuhalalisha wala nini, ndo wanazidi kuzaa nje ya ndoa zao na kuwa na viserengeti boyz. Mimi naona ni bora tuu wangehalalisha watu muone kama mwanamke anashindwa kuwa na njemba hata tano kwa mpigo. Kama ukiangalia kwa undani kwa sasa, ni wanaume wachache wanaoweza kupiga zaidi ya one goal kwenye mechi ya 6 by 6...nani anabisha! so one woman anao uwezo wa kuhimili from 3 to 4 goals a day au hata zaidi. Naona hili kwa kweli liangaliwe kwa undani na wao wapewe nafasi sawa na wanaume.