Aiseeeee
Nilimsotea sana huyu mrembo nikampania sana maana kimuonekano ni anavutia haswa
Basi nikaenda nae hadi akawa sawa
Ajabu na kitu iliyonikata stim ni huyu demu kuwa na kingozi ligumu mwili mzima!
Si mikono wala kalio lake kubwa, kote ni ngumu kama gamba la samaki ful mikwaruzo, kiukweli hafanani na jinsi alivyo hakika hakuna kizuri bila kasoro
Inakuaje mrembo wa kimuonekana unakua na ngozi ngumu?
Kwakweli hapa atanisamehe, hataniona tena
Nilimsotea sana huyu mrembo nikampania sana maana kimuonekano ni anavutia haswa
Basi nikaenda nae hadi akawa sawa
Ajabu na kitu iliyonikata stim ni huyu demu kuwa na kingozi ligumu mwili mzima!
Si mikono wala kalio lake kubwa, kote ni ngumu kama gamba la samaki ful mikwaruzo, kiukweli hafanani na jinsi alivyo hakika hakuna kizuri bila kasoro
Inakuaje mrembo wa kimuonekana unakua na ngozi ngumu?
Kwakweli hapa atanisamehe, hataniona tena