Usidanganye watu hapa wazungu ukiwaona nchi za kiislamu basi ujue amefuata raslimali tena kwa kufuata taratibu sio kama waarabu kila siku wanakufa baharini kisa ulayaHata wazungu wengi wako nchi hizo,wanakimbia mwakao,kila bin Adam,ana sababu yake ya kuishi kokote duniani.