Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

Habari yako,

Pole kwa kadhia za ujauzito zinazokukuta na bila shaka hiyo ni mimba yako ya kwanza.

Kwa kawaida kabla hata ya kupata ujauzito ulipaswa kupata elimu ya uzazi na kuelekezwa mambo kadha wa kadha.

Kinachokutokea sio tatizo bali ni hali ya kawaida kwa mwanamke yoyote na hali hiyo itapungua kwa kadiri mimba itavyokuwa ikikua.
Kutokana na mabadiliko ya vichocheo mwilini, wanawake wengi huwa wanapata hali ya kichefuchefu, matiti kuwa mazito na wakati mwingine huuma yanapobonyezwa, miguu kukosa nguvu na dalili lukuki wakati wa trimester ya kwanza 'miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito'.

Unachotakiwa kufanya ni kufika kituo cha afya au kliniki upate kuonana na madaktari na kuwaeleza hali yako, utapewa huduma stahiki.

Kwa sasa jitahidi ule vizuri, ulale muda mrefu na fanya mazoezi mepesi ya viungo.
 
Calmdown !


Huwa mimba hutofautiana kutoka mtu mmoja
na mwingine,suala la msingi ni kwenda Hosp
kwatatizo lako .Lakini hao washauri wako nao


Ni wanafki sana yaani uitoe ili uwe na kazi ?
Mbona tunasahau kuwa kuwa kazi ina mambo:-

1.Kufukwa kazi
2.Kuacha kazi
3. Kufa n.k

Lea mimba yako kwa hali zote pia jua ni hali
tu hiyo itapita miaka hii uzazi ni wa tabu sana
ukiwasikiliza hao washauri wako watakupotosha
bure.

Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu!
 
Habari yako,

Pole kwa kadhia za ujauzito zinazokukuta na bila shaka hiyo ni mimba yako ya kwanza.

Kwa kawaida kabla hata ya kupata ujauzito ulipaswa kupata elimu ya uzazi na kuelekezwa mambo kadha wa kadha.

Kinachokutokea sio tatizo bali ni hali ya kawaida kwa mwanamke yoyote na hali hiyo itapungua kwa kadiri mimba itavyokuwa ikikua.
Kutokana na mabadiliko ya vichocheo mwilini, wanawake wengi huwa wanapata hali ya kichefuchefu, matiti kuwa mazito na wakati mwingine huuma yanapobonyezwa, miguu kukosa nguvu na dalili lukuki wakati wa trimester ya kwanza 'miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito'.

Unachotakiwa kufanya ni kufika kituo cha afya au kliniki upate kuonana na madaktari na kuwaeleza hali yako, utapewa huduma stahiki.

Kwa sasa jitahidi ule vizuri, ulale muda mrefu na fanya mazoezi mepesi ya viungo.

Asante ndugu yangu kwa,ushaur
 
Calmdown !


Huwa mimba hutofautiana kutoka mtu mmoja
na mwingine,suala la msingi ni kwenda Hosp
kwatatizo lako .Lakini hao washauri wako nao


Ni wanafki sana yaani uitoe ili uwe na kazi ?
Mbona tunasahau kuwa kuwa kazi ina mambo:-

1.Kufukwa kazi
2.Kuacha kazi
3. Kufa n.k

Lea mimba yako kwa hali zote pia jua ni hali
tu hiyo itapita miaka hii uzazi ni wa tabu sana
ukiwasikiliza hao washauri wako watakupotosha
bure.

Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu!

Ubarikiwe ndugu yangu nimefarijika sana kuingia jf asanteni kwa ushauri
 
Naamin hilo ni suala la mpito na litaisha.
Suala la kazi ni suala ambalo lipo na kama wajiamini unaweza poteza kazi na ukapata kazi. Siamin suala la kutoa mimba ulinde kazi ambayo waweza pia ipoteza pasi kutarajia.
Umbali wa mwenzi wako ni jambo la kawaida ila cha msingi jitahdi kwenye mawasiliano.
Jaribu aina mbali mbali za vyakula naamin kuna ambavyo havitalkuletea kichefu chefu

Mwisho TOA hilo wazo la ajabu la kutoa mimba


Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 
Naamin hilo ni suala la mpito na litaisha.
Suala la kazi ni suala ambalo lipo na kama wajiamini unaweza poteza kazi na ukapata kazi. Siamin suala la kutoa mimba ulinde kazi ambayo waweza pia ipoteza pasi kutarajia.
Umbali wa mwenzi wako ni jambo la kawaida ila cha msingi jitahdi kwenye mawasiliano.
Jaribu aina mbali mbali za vyakula naamin kuna ambavyo havitalkuletea kichefu chefu

Mwisho TOA hilo wazo la ajabu la kutoa mimba


Sent from my BlackBerry - jamiiforums

asante sana
 
Umenifanya nicheke chozi la furaha dia,nimeiona pesa asante.
Usijari wangu wa moyoni.
Wewe ndio pumzi yangu LOL.
Ila kua makini maana humu ndani kuna watu wengi ila binadamu wachache.
Pia leo jitahidi uwahi kurudi mpenzi sawa eeeh.
Maana kwa hali yako hiyo sipende ukae kwenye foleni masaa meeeengi.
 
Usijari wangu wa moyoni.
Wewe ndio pumzi yangu LOL.
Ila kua makini maana humu ndani kuna watu wengi ila binadamu wachache.
Pia leo jitahidi uwahi kurudi mpenzi sawa eeeh.
Maana kwa hali yako hiyo sipende ukae kwenye foleni masaa meeeengi.

Ntafanya hivyo ila usisahau kunijulia hali basi si unajua,we ndo faraja yangu
 
Dada samahani kwa lugha chafu nitakayoitumia....

Hivi una akili timamu???

Yaan unathamini kazi kuliko ndoa yako na uzazi wako?? Wanawake wengine hawalali usiku kucha, wanapoteza pesa na muda kutafuta ujauzito wewe unataka utoe kisa kutapika???? Je kama ndiye mtoto pekee uliyepangiwa kumzaa itakuwaje?? Ndio wale wale wanaishia kwa waganga wakitafuta mchawi kumbe wamejichawia wao wenyewe!!!

Huo ni upepo tu utapita... Hao wanaokushauri utoe ni wanafiki, toa uone cha moto utakiona. Unadhani mimba ni lelemama eeh.... Kama hukuwa tayari kuolewa bora usingekubali kuolewa na kumpotezea kijana wa watu muda.

Ulidhani unaolewa kwenda kuwa pambo la nyumba ya huyo mwanaume?? Unadhani ukitoa hiyo mimba, afu ukaja kubeba nyingine hutopatwa hayo maswahibu??????

Nimekuchukia aiseeeee........

Ungekuwa mdogo wangu wallah ningekukana!!!!!!!
Hakuwa na maana mbaya ila ni hali ya kutapatapa ndiyo vijana wetu wa siku hizi wanapata ujauzito bila kujua hali ya mwili huwa inabadili kutoka na tatizo husika ni moja ya mapokeo kwa mwili wake huwa wengine wanatapika wengine miguu kuvimba yote ni mambo ya muda cha msingi amekosea kuonyesha swala la kutapika kuwa kama kero kwa mambo yake ya kila siku tumsame lakini siyo sahihi kutumia neno kutoa mimba kama silaha ya kupambana na tatizo lake.
 
Dada samahani kwa lugha chafu nitakayoitumia....

Hivi una akili timamu???

Yaan unathamini kazi kuliko ndoa yako na uzazi wako?? Wanawake wengine hawalali usiku kucha, wanapoteza pesa na muda kutafuta ujauzito wewe unataka utoe kisa kutapika???? Je kama ndiye mtoto pekee uliyepangiwa kumzaa itakuwaje?? Ndio wale wale wanaishia kwa waganga wakitafuta mchawi kumbe wamejichawia wao wenyewe!!!

Huo ni upepo tu utapita... Hao wanaokushauri utoe ni wanafiki, toa uone cha moto utakiona. Unadhani mimba ni lelemama eeh.... Kama hukuwa tayari kuolewa bora usingekubali kuolewa na kumpotezea kijana wa watu muda.

Ulidhani unaolewa kwenda kuwa pambo la nyumba ya huyo mwanaume?? Unadhani ukitoa hiyo mimba, afu ukaja kubeba nyingine hutopatwa hayo maswahibu??????

Nimekuchukia aiseeeee........

Ungekuwa mdogo wangu wallah ningekukana!!!!!!!

Ahsante.
Dada mleta mada wewe ni ndezi kabisaa na unaonekana bado una utoto mwingi saana.
 
Pole na na kuonea huruma but,usitoe kwa kuwa kwanza umebakiza hatua fupi tu ya mateso..ukitoa kumbuka utanasa tena utaanza upya hatua ambayo sasa ushaipita kidogo,,kula kidogo kidogo..tafuta vyakula ambavyo vinaleta apetite na havina mafuta au kuungwa ungwa...mfano tafuta au tengeneza juice ya ubuyu ni nzuri kwa hali hiyo..na pia ina virutubisho vingi ambavyo unavikosa kutokana n akutokula vyakula vingine,kunywa juice ya ukwaju..kula apples,ubuyu,pipis na bila kusahau dawa ya Nosic itakusaidia kukuweka vyema...
 
Hivi mtu unafikiaje such a simple conclusion? Unachanganya nada hapa, suala ni kutapika au issue ni kwamba mumeo hayupo??? Una uhakika gani kwamba hizo mimba nyingine hutatapika? Next time ntakuchapa ukija hivi.
 
Hakuwa na maana mbaya ila ni hali ya kutapatapa ndiyo vijana wetu wa siku hizi wanapata ujauzito bila kujua hali ya mwili huwa inabadili kutoka na tatizo husika ni moja ya mapokeo kwa mwili wake huwa wengine wanatapika wengine miguu kuvimba yote ni mambo ya muda cha msingi amekosea kuonyesha swala la kutapika kuwa kama kero kwa mambo yake ya kila siku tumsame lakini siyo sahihi kutumia neno kutoa mimba kama silaha ya kupambana na tatizo lake.

Nashukuru kwa ushauri na kunielewa pia. Mnisamehe nilipokosea
 
Hivi mtu unafikiaje such a simple conclusion? Unachanganya nada hapa, suala ni kutapika au issue ni kwamba mumeo hayupo??? Una uhakika gani kwamba hizo mimba nyingine hutatapika? Next time ntakuchapa ukija hivi.

Sijafikia hiyo conclusion msinielewe vibaya nimeeleza ushauri ninaoupata kwa wengine ndo mana nikaingia jf kupata jawabu sahihi ila c kwamba nimefanya conclusion.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom