wakuu! Salama, naomba kuuliza kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito inamadhara kwa yeye kiafya, je kama aina unaruhusiwa kufanya naye mapenzi mpaka miezi mingapi mwisho... Pasipo matatizo kwake na mwanaume.
Haina madhara kama mama mjamzito hana complications zozote zile ziambatanazo na ujauzito...
Zaidi wakati wa ujauzito mwanamke au mwanaume hupata raha ya ngono kuliko wakati mwingine wowote.
Kuna baadhi ya wanawake ambao huwa hawana uwezo wa multiple orgasms nyakati wasizo na mimba, huweza kupata namna hii ya orgasms wakiwa wajawazito.
wakuu, mbona nilipata nyepesi nyepesi kwamba endapo utamgegeda mwanamama mwenye mimba unasababisha mtoto anazaliwa akiwa na nywele kama kipara?
zaidi zaidi, hii humuathiri mpaka hata kwenye kukua kwake, yani mtoto mdogo lakini anakuwa na asili ya kipara!
je kuna ukweli wowote juu ya hili?
wakuu! Salama, naomba kuuliza kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito inamadhara kwa yeye kiafya, je kama aina unaruhusiwa kufanya naye mapenzi mpaka miezi mingapi mwisho... Pasipo matatizo kwake na mwanaume.
wakuu, mbona nilipata nyepesi nyepesi kwamba endapo utamgegeda mwanamama mwenye mimba unasababisha mtoto anazaliwa akiwa na nywele kama kipara?
zaidi zaidi, hii humuathiri mpaka hata kwenye kukua kwake, yani mtoto mdogo lakini anakuwa na asili ya kipara!
je kuna ukweli wowote juu ya hili?
wakuu, mbona nilipata nyepesi nyepesi kwamba endapo utamgegeda mwanamama mwenye mimba unasababisha mtoto anazaliwa akiwa na nywele kama kipara?
zaidi zaidi, hii humuathiri mpaka hata kwenye kukua kwake, yani mtoto mdogo lakini anakuwa na asili ya kipara!
je kuna ukweli wowote juu ya hili?
Kwa hiyo mamake mkapa ndo kusema?
Mimi Wangu Tokea Mimba Imetinga hadi Siku anapata Uchungu wa Kujifungua Nilikuwa NAMKANYAGA Tu na Amejifungua Toto Zuri Kweli TENA La Kiume Lina Afya na Halina Tatizo Lolote. Ila Msiige Kwani Wanawake Hawafanani na Wanatofautiana Kwa Mengi sana na Haswa ktk Suala Zima la Kufanya Mapenzi na NILIKUWA NAMKANYAGA KWA SPIDI ILE ILE YA Supersonic Jet bila Kuremba.wakuu! Salama, naomba kuuliza kufanya mapenzi na mwanamke mjamzito inamadhara kwa yeye kiafya, je kama aina unaruhusiwa kufanya naye mapenzi mpaka miezi mingapi mwisho... Pasipo matatizo kwake na mwanaume.
mimi wangu tokea mimba imetinga hadi siku anapata uchungu wa kujifungua nilikuwa namkanyaga tu na amejifungua toto zuri kweli tena la kiume lina afya na halina tatizo lolote. Ila msiige kwani wanawake hawafanani na wanatofautiana kwa mengi sana na haswa ktk suala zima la kufanya mapenzi na nilikuwa namkanyaga kwa spidi ile ile ya supersonic jet bila kuremba.
hata mm nilifanya hivyo but nilipunguza spidi na cku za kukutana.
Haina madhara kama mama mjamzito hana complications zozote zile ziambatanazo na ujauzito...
Zaidi wakati wa ujauzito mwanamke au mwanaume hupata raha ya ngono kuliko wakati mwingine wowote.
Kuna baadhi ya wanawake ambao huwa hawana uwezo wa multiple orgasms nyakati wasizo na mimba, huweza kupata namna hii ya orgasms wakiwa wajawazito.