sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Mara nyingi hamuitikii salamu
Nilichogundua ni kwamba mwanamke mwenye watoto wengi anakuwa mtulivu Sana kwenye ndoa kuliko mwenye watoto wachache. Kwangu nimepima watoto wengi nikuanzia wanne kwenda juu na mwenye wachache ni watatu kushuka chini.
Kuna wenye watoto wachache kutokana na matatizo ya kiafya, nyie poleni. Nazungumzia hawa wenye watoto wachache kwa maamuzi yao.
Huyu mwenye namba kubwa yawatoto Mara nyingi kichwa chake kinawaza atakavyowahudumia wanae hasa kwenye kuwaandalia chakula na Mambo mengine. Mwanamke mathalani mwenye watoto watano wakati mwengine hata swala la kunyanduana na mumewe tu halipo kichwani muda wote sembuse mchepuko!
Ukija kwa hawa wenye mtoto mmoja, wawili au watatu hali ni tofauti. Wengi huona kwamba watoto wao wanaweza kuwa salama hata kwa kuangaliwa na majirani.
Nahapa waliozidi kutotulia niwenye mtoto mmoja tu.Asee hawa viumbe inafikia mahali wanajiona mabikra kabisa. Wengine wakiingia kwenye 18 za mwanaume wanayempenda hudiriki hata kukataa kuwa hawajazaa.
Najua wengi mtasema hii ni tabia ya mtu ila tambueni kwamba tabia nyingi zinakufa/kuendelea kulingana na majukumu ya mhusika.
NB: Neno BAADHI lizingatiwe hasa pale unapogundua wewe au unayemfahamu hahusiki.
Wasalaam!
Nilichogundua ni kwamba mwanamke mwenye watoto wengi anakuwa mtulivu Sana kwenye ndoa kuliko mwenye watoto wachache. Kwangu nimepima watoto wengi nikuanzia wanne kwenda juu na mwenye wachache ni watatu kushuka chini.
Kuna wenye watoto wachache kutokana na matatizo ya kiafya, nyie poleni. Nazungumzia hawa wenye watoto wachache kwa maamuzi yao.
Huyu mwenye namba kubwa yawatoto Mara nyingi kichwa chake kinawaza atakavyowahudumia wanae hasa kwenye kuwaandalia chakula na Mambo mengine. Mwanamke mathalani mwenye watoto watano wakati mwengine hata swala la kunyanduana na mumewe tu halipo kichwani muda wote sembuse mchepuko!
Ukija kwa hawa wenye mtoto mmoja, wawili au watatu hali ni tofauti. Wengi huona kwamba watoto wao wanaweza kuwa salama hata kwa kuangaliwa na majirani.
Nahapa waliozidi kutotulia niwenye mtoto mmoja tu.Asee hawa viumbe inafikia mahali wanajiona mabikra kabisa. Wengine wakiingia kwenye 18 za mwanaume wanayempenda hudiriki hata kukataa kuwa hawajazaa.
Najua wengi mtasema hii ni tabia ya mtu ila tambueni kwamba tabia nyingi zinakufa/kuendelea kulingana na majukumu ya mhusika.
NB: Neno BAADHI lizingatiwe hasa pale unapogundua wewe au unayemfahamu hahusiki.
Wasalaam!