tyina
Member
- Jul 11, 2017
- 94
- 28
Jamanii wakuuu naomben msaada wenu kwann mwanamke anapitiliza siku za hedhi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Linasababishwa na Hormone imbalance hazijawa sawa au unatumia vidonge vya uzazi wa majira? Nitafute nipate kukutibia.Jamanii wakuuu naomben msaada wenu kwann mwanamke anapitiliza siku za hedhi?
Sent using Jamii Forums mobile app