Jeanclaude
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 259
- 237
Ni halali kwa wanawake kuwachukulia wapenzi wao kama waume wa ndoa ilihali hata uchumba bado? Nimeshuhudia marafiki zangu wawili waliokuwa na tabia hiyo na walipoachika wakakata tamaa utadhani wamepewa talaka. Wanawake msijiaminishe kihivyo mtaumia bure..