unadhani inafaaAkitoa namba ajiandae na kumkubali aliempa, coz hakuna jambo wataenda kuongea zaidi ya hilo
Nifundishe kuapproach a woman basKumbe exchanging numbers is an automatic ticket to getting laid?
No wonder mnasemaga women are complicated creatures. To begin with huenda by appearance you seemed like a nice decent guy. Ila ukaja ku boogie kwenye kuji express. Ukafeli.
Kingine, nyie mnatu approach labda lengo lenu is just pleasure wakati sisi tunaiona gateway to friendship, connections etc. Kumbuka hata networking huwa inaanza by mere communication.
How you approach a woman tells alot about how she will respond to you.
Good girl!Sikupi namba maana ukinitongoza jibu ni hapana nina mume,wasalimie
Usiforce tufananeHuyo anaeomba namba kuwa rafiki sio mzima
Sidhani kama kuna limit ya marafiki duniani ni mtu wenyewe kujua watakufaa au la, marafiki wengi wanafaida nyingi sana bila kusahau chenye faida hakikosi hasaraNa yeye kwa mfumo huo wa kutoa namba atakua na marafiki wangap wa kiume na wa kazi gani?
Na si kila anayeomba namba lengo nikutongoza tu kukariri ndo shidaSasa kwann nisimpe namba na kaomba,
Kuomba namba ni swala moja kutongozana ni swala lingine
Nitumie inbox jomoni😂😂😂😂,,,065370413021
Tena ujinga wa kiwango cha rami!Umeandika ujinga tuu.
Inbox Ndo kuzuri??Nitumie inbox jomoni
Mwingine naona una connection Fulani anataka umsaidieNa si kila anayeomba namba lengo nikutongoza tu kukariri ndo shida
Nitigo pesa😉😉😉Tigo hiyo!
ZenaHii ni tabia iliyozoeleka sasa hivi japo sidhani kama iko sawa,, mwanamke unamuomba namba anakupa in good faith tena bila kuvutana, sijui anakua anafikiri utakuja umpigie kumwambia maswala ya kazi, kufanya biashara pamoja au kwenda kumfanyia shoping wit no reason,,, mwishoni unakuja kumfungukia ya moyoni anakutolea mbavuni
Si ungwana hata kidogo na sijui kwanini mnafanya hivo! kama ushahisi utatokewa kwanini utoe namba?
Na kama umetoa namba ukijua utatokewa kwanini mwishoni uzingue? kuweni wastaarabu msijifanye wastaarabu,, mwanaume mpaka akuombe namba kuna mawili, kakutamani au kakupenda kweli, sa ni jui yako kwenda kumskiza na kuchagua umalize tamaa yake au uunganishe upendo uwe kitu kizima
Safi sana comment hii imekaa poaKwa unavyotaka wewe, atawakubali wangapi sasa mkuu?? .
Vingine ni kuvila tu kwa macho na kukubali kua Rafiki yake basi .siku akiona vema kukutunuku atakutunuku, hakiona sio vema unatulia.
Ukiomba namba Mwambie hivi “naomba namba ili nikutongoze kama utanikataa naomba usinipe“,Simple msiandike upupu apa, ukiachilia hayo pole kwa kukataliwa.
Ndo hivyoMwingine naona una connection Fulani anataka umsaidie
yes my loveInbox Ndo kuzuri??