Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
acha nionekane mswahili tu sitaki kusikia habari hzo mmesoma wote mkutane hukooo sio kwanguHa hanha mbna wamekuja sana tu
acha nionekane mswahili tu sitaki kusikia habari hzo mmesoma wote mkutane hukooo sio kwanguHa hanha mbna wamekuja sana tu
Ahaa mama ni rafik tu mama wanakuja kusalimiaacha nionekane mswahili tu sitaki kusikia habari hzo mmesoma wote mkutane hukooo sio kwangu
sijabisha ila sio waonane kwangu wakaonane huko mbali na macho yanguAhaa mama ni rafik tu mama wanakuja kusalimia
Sasa c bora and home umuone kabisa uspate mawazo mamasijabisha ila sio waonane kwangu wakaonane huko mbali na macho yangu
sitakiiiiSasa c bora and home umuone kabisa uspate mawazo mama
sitakiiii
Follow your heart my dear.asante ila haya yote nayajua.
nan kakwambia watu wa swaga ni wasaf? unaweza uone mtu kapigilia nguo bei mbaya ila akivua unashangaa.
nikwambie ukweli bora nipate maskini lakini ambae ni msafi, kama ni pesa tutatafuta tu hivi unajua kuna watu maskini ila ukiona alivyo msafi unashangaa?
unafikiri nimeona wachache? staki kudanganya moyo wangu au kuwafurahisha watu ninachokitaka ni mwanaume msafiii mengine nitavumilia. hata akikosa vigezo vyote akawa na hiki kimoja basi nitavuta hisia na trust me nitampenda. no matter what.
hata akiwa na Nguo moja ila hawezi kuivaa bila kuinyoosha hata na pasi ya mkaa mm nitaridhika, akicheka meno yake ni masafi sina wasiwasi kumkiss at anytime. spending kuigiza mwishowe niwakodelee macho wengine
Fafanua basiWewe na mke wako inaelekea bado hamjafahamu maana ya ndoa.