Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,371
- 29,937
sawa mkuu lakin huo ujumbe nafikir unamuhusu yeye zaidNitaongeo nae ila ndo iwe mwanzo na mwisho
sawa mkuu lakin huo ujumbe nafikir unamuhusu yeye zaidNitaongeo nae ila ndo iwe mwanzo na mwisho
Ni kweli anakulazimisha uamini kitu na wewe unamuonyesha kwa vitendo kwamba umeamini hivyo .Akikuuliza ni kwa nini na wewe utamuuliza hivyo hivyo yaani tamu sana hii kitu.Unatulia tu mkuu baada ya wiki nawe unaleta mwanamke uliye soma naye akutembelee weekend mshinde mle na lunch nyumbani then unamsindikiza jioni yake!
Ni kweli! Kumbe mwajijua, tukisema sie mwabishakawaida tu sema umeshawazakuwa anakucheat nooo yawezekana kaja kumringishia sehemu anayokaa ilivyonzuri na alivyo na familia nzuri wanawake tuna mengi vichwani mwetu acha tu
kawaida tu sema umeshawazakuwa anakucheat nooo yawezekana kaja kumringishia sehemu anayokaa ilivyonzuri na alivyo na familia nzuri wanawake tuna mengi vichwani mwetu acha tu
Huyo jamaa kagonga, au anagonga au atagonga mkeo, hutaki acha!! Si ajabu mkeo nae kaenda ghetto kwake.Hii imekaaje mkeo kumleta mtu waliosoma nae mwanaume nyumbani kwako alafu unafika nyumbani anakutambulisha huyu nimesoma nae.
Kama ni wewe unalipokeaje alafu ni usiku na anmshindikiza wewe upo ndani itakua kwenye hali gani na utafanyaje.
Huu nao ni UCHOCHEZIHuyo jamaa kagonga, au anagonga au atagonga mkeo, hutaki acha!! Si ajabu mkeo nae kaenda ghetto kwake.
Fanya unachotakiwa kufanya.