Sasa huo ni mfano wa kuiga?ata baba yetu adamu alihadaiwa na kuhongwa ka tunda na mama yetu! enzi zileee za bustanini
Fisadi mkubwa tu both ways...Vipi wewe?ama we mpinga fisadi?ha ha ha ha, hebu tiririka hapa.
Umeshahonga hadi umekuwa fisadi??
Wee hupendi binti akikupa gari?
napenda both ways lakini iwe sincere
ila sasa mie nahonga chalk, kuni, kidumu cha maji, mfagio tu, maana ni mwalimu wa shule ya msingi.
Pouwa tu, as you said, as long as there's sincerity and ofcourse above all from your heart.Kuna zawadi ambazo unapenda specifically?
We binti una vituko basi tu lol!ngoja niangalie utaratibu wa kupanda migomba ya ndizi mshale hapa nilipo.Hata valentine unataka ndizi?usijali,utapata ndizi kama ndo unapenda.Kwani shule unayofundisha iko kijijini?sina kitu specifically, chochote tu.
Ila usiniletee maua siku ya valentine au nikipata kitoto kichanga.
Bora niletee nyama, ndizi mshare, mchele na aina hiyo niongeze shavu .