Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
- Thread starter
- #81
Kani hayo mambo anayafanya hadharani mpk aogope macho ya watu?
Kama ni hivyo mfano wako shopping mall flan ivi, kwann mdada asimpe hela mwanaume wakiwa nyumbani, afu wakifika shopping mwanaume ndo awe analipa kama zake?
Sasa kuna tofauti gani kupewa hela mkiwa nyumbani ili wewe ukazitoe mbele za watu?
Huoni kama ni 'inferiority' ya hali ya juu sana?
Unamdanganya nani? wauzaji wa mall? wanakujua hata?
Mie nadhani mwenye hela hujulikana tu kati ya wawili
Mwanaume kuhongwa ni noumer, kama mwanamke una kipato kikubwa ni bora umfungulie hata kabiashara huyo mwanaume nae akawa mtafutaji kuliko kuishia kumnunulia pamba na misosi. Jamii siku zote huwachukulia wananiume kama watafutaji hivyo inapotokea mtoto wa kiume anasubiri kuletewa heshima inashuka. Pamoja na hayo, si vizuri kuishi kwa kuangalia macho ya watu. Watu waishi wapendavyo kwa namna ambavyo watafurahia. Kama kuhonga kunanogesha penzi, hakuna sababu ya kuacha kisa jamii itaonaje!
Sasa kama kumnunulia shati ni nongwa sembuse kumpa mtaji?
Si ndio utaonekana unamNUNUA kabisa, itaonekana kama limbata live.