Mwanamke kumbuka yafuatayo unapotoka na mume wa mtu

plan z

JF-Expert Member
Jun 10, 2019
1,381
1,414
Dada yangu kipindi utakapokubali kutoka kimapenzi na mume wa mtu, utakuwa umekubaliana kuwa mwanamke wa daraja la pili. Na siku zote mtu wa daraja la pili ni mtu wa daraja la chini ukilinganisha na daraja la kwanza.

Angalia sasa, kama yupo na wewe na mke wake akapiga simu atamdanganya mkewe kwamba yupo ofisini au katika kikao na hautakuwa na ujasiri wa kuingilia mawasiliano yake. Pia anapokuwa nyumbani kwake kwa mkewe huwezi kumpigia au hata kumtumia text.

Dada yangu wewe ni mdoli? Anakuchukua kwenu na gari yake anakupeleka katika vyumba vya hotel lakini mke wake amemkabidhi nyumba nzima. Dada yangu, shtuka. Anakutembelea nyumbani kwako na unamtambulisha kwa rafiki zako na majirani kwamba ni boyfriend wako bila kujua unajizibia nafasi za kupata mtu sahihi wa kuweza kujenga nae maisha. Na mbaya zaidi hupajui hata yeye anapoishi.

Dada yangu mpaka lini utaendelea kujiharibia future yako? Anatoka na wewe out na anakununulia kila aina ya pombe na wakati huo huo hawezi kumruhusu mkewe kunywa pombe ya aina yoyote ile. Akili ya kawaida ikwambie kwamba anafanya hivyo ili ulewe vilivyo na apate wasaa wa kukukandamiza vizuri kitandani.

Dada yangu, je mwili wako ni wa majaribio? Anakupa mimba na anakupa pesa uende ukaitoe lakini mke wake akipata mimba nyumbani ni sherehe na anampa pesa za kuandaa martenity dress na vitu vya mtoto. Dada yangu kumbuka tayari anayo familia yake, kama ulikua hujui jamaa huwaelezea marafiki zake yote mnayofanya hotelini, lakini hata siku moja hawezi kuwalezea yale anayofanya na mkewe.

Hii inafanya marafiki zake wakuone kama mwanamke wa hadhi ya chini kabisa. Unazo picha zake katika simu yako na umesave namba yake kwa majina mazuri kama sweetheart, my love, etc lakini picha zako haziwezi kupatikana katika simu yake na namba yako ameisave kama fundi jenereta, fundi gari, mzibua chemba. Unatakiwa ukumbuke kwamba mwanamke asiye na akili sehemu zake za siri ndizo zitakazoumia zaidi. Amka dada yangu unatumika.
 
Wanawake wengi nchini hawana maarifa ya kujifunza kusaka pesa yao wenyewe, wao ni kuvizia hao mabuzi waume za watu. Wavae wapige picha wawarushe roho wenzao kwenye social media.
 
Hivi humu ndani wanawake huwa hatuna jema hata moja tunalofawanyia? Maana ni kila siku wanawake this, wanawake that,

Inafikia pahala ukiona tu new thread unajua kabisa hapa ni wanawake tunasemwa..! While we know deep down we're being appreciated.!

Jaribuni kutusifia hata mara 1 1 basii, does it mean mnaishi na mashetani huko duniani kiasi kwamba hatuwatendi lililo jema japo moja tu?

Enwei, wanao date waume za watu wamekusikia na wataacha ila nawe pia uandike kwa paragraphs mkuu.!
 
Hivi humu ndani wanawake huwa hatuna jema hata moja tunalofawanyia? Maana ni kila siku wanawake this, wanawake that,

Inafikia pahala ukiona tu new thread unajua kabisa hapa ni wanawake tunasemwa..! While we know deep down we're being appreciated.!

Jaribuni kutusifia hata mara 1 1 basii, does it mean mnaishi na mashetani huko duniani kiasi kwamba hatuwatendi lililo jema japo moja tu?

Enwei, wanao date waume za watu wamekusikia na wataacha ila nawe pia uandike kwa paragraphs mkuu.!
Aya usijali
 
Hivi humu ndani wanawake huwa hatuna jema hata moja tunalofawanyia? Maana ni kila siku wanawake this, wanawake that,

Inafikia pahala ukiona tu new thread unajua kabisa hapa ni wanawake tunasemwa..! While we know deep down we're being appreciated.!

Jaribuni kutusifia hata mara 1 1 basii, does it mean mnaishi na mashetani huko duniani kiasi kwamba hatuwatendi lililo jema japo moja tu?

Enwei, wanao date waume za watu wamekusikia na wataacha ila nawe pia uandike kwa paragraphs mkuu.!
Mbona mwandiko wa mtoa thread umekaaa kijamilajamila.... Wa kike huyo
 
Dada yangu kipindi utakapokubali kutoka kimapenzi na mume wa mtu, utakuwa umekubaliana kuwa mwanamke wa daraja la pili. Na siku zote mtu wa daraja la pili ni mtu wa daraja la chini ukilinganisha na daraja la kwanza.

Angalia sasa, kama yupo na wewe na mke wake akapiga simu atamdanganya mkewe kwamba yupo ofisini au katika kikao na hautakuwa na ujasiri wa kuingilia mawasiliano yake. Pia anapokuwa nyumbani kwake kwa mkewe huwezi kumpigia au hata kumtumia text.

Dada yangu wewe ni mdoli? Anakuchukua kwenu na gari yake anakupeleka katika vyumba vya hotel lakini mke wake amemkabidhi nyumba nzima. Dada yangu, shtuka. Anakutembelea nyumbani kwako na unamtambulisha kwa rafiki zako na majirani kwamba ni boyfriend wako bila kujua unajizibia nafasi za kupata mtu sahihi wa kuweza kujenga nae maisha. Na mbaya zaidi hupajui hata yeye anapoishi.

Dada yangu mpaka lini utaendelea kujiharibia future yako? Anatoka na wewe out na anakununulia kila aina ya pombe na wakati huo huo hawezi kumruhusu mkewe kunywa pombe ya aina yoyote ile. Akili ya kawaida ikwambie kwamba anafanya hivyo ili ulewe vilivyo na apate wasaa wa kukukandamiza vizuri kitandani.

Dada yangu, je mwili wako ni wa majaribio? Anakupa mimba na anakupa pesa uende ukaitoe lakini mke wake akipata mimba nyumbani ni sherehe na anampa pesa za kuandaa martenity dress na vitu vya mtoto. Dada yangu kumbuka tayari anayo familia yake, kama ulikua hujui jamaa huwaelezea marafiki zake yote mnayofanya hotelini, lakini hata siku moja hawezi kuwalezea yale anayofanya na mkewe.

Hii inafanya marafiki zake wakuone kama mwanamke wa hadhi ya chini kabisa. Unazo picha zake katika simu yako na umesave namba yake kwa majina mazuri kama sweetheart, my love, etc lakini picha zako haziwezi kupatikana katika simu yake na namba yako ameisave kama fundi jenereta, fundi gari, mzibua chemba. Unatakiwa ukumbuke kwamba mwanamke asiye na akili sehemu zake za siri ndizo zitakazoumia zaidi. Amka dada yangu unatumika.


Hapa ni kuzibiana tu
 
Back
Top Bottom