ziana
Member
- Nov 23, 2016
- 45
- 32
Mwanamke kutopata ule ute ute hali hii inatokana na nini maana mimi huwa siupati hata nikikaribia ovulation siupati kabisa naombeni munisaidie kama kuna uwezekano hata wa kutumia dawa nami nikawa nao karibuni kuchangia.
=====
Soma pia:
1) Hizi ni sababu za kukauka kwa uke wakati wa kufanya mapenzi
2) Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri
=====
Soma pia:
1) Hizi ni sababu za kukauka kwa uke wakati wa kufanya mapenzi
2) Tatizo la Uke Kuwa Mkavu: Chanzo, Suluhisho na Ushauri