Tunataka majibu ya kitaalamu kama haya . . Safi sana . .Inawezekana kujisaidia au mkojo kutoka bila ya yeye kujua. Hii inatokea kama alipata massive orgasm.
Wakati wa Orgasm kuna compounds zinazalishwa mwilini zinaitwa prostaglandins ambazo zina sababisha Uterus i- contract sana na kuongezeka kwa msukumo wa damu kwenye lower pelvis ,kwahiyo inatoa wakati mgumu kwa muhusika ku hold mkojo au haja kubwa.
Wakuu habari za mihangaiko
Bila kupoteza muda niende madani.Kuna rafiki yangu kipenzi ameniomba ushauri Ila nimekosa jibu.
Jamaa kaniambia kuwa Jana wakati anasex Na mpenzi wake kitu cha ajabu kilitokea baadae baada ya jamaa kuona kinyesi katika shuka!!,Na staili ilikuwa ya kifo cha mende(missionary).
Jamaa hana tabia ya kupita mlango Wa nyuma,na ameshakuwa faragha mara 6 na huyo mwanamke tukio hili ni Mara ya kwanza.
Pia mwanamke ana mkia wa kondoo(zigo la kuvunja chaga)pia huwa anarusha maji (squirting).
Jamaa ilibidi afue shuka ila alimficha mwanamke alipomuuliza mbona anafua shuka,je huyu mwanamke hakujua alichofanya?
Nisaidieni kumjibu maana mimi sijui la kumwambia.
Je, ni kawaida kama ndio nini husababisha?
Karibuni wapendwa.
Duhhh.....
itakua alikosa sehemu ya kupumulia ikabidi apumulie kupitia chemba ya dawasco
Sio kumsema tunatafuta chanzoNi dhahiri mwenza wa rafiki yako ana matatizo lakini kumtuhumu Moja kwa moja kwamba anaingiliwa kinyume na maumbile si sawa. Mathalan wamejamiiana zaidi ya Mara Sita na hii ni Mara ya kwanza Jambo hili kutokea, ni vyema wakae wajadili kama wapenzi hivi vitu vinaongeleka Kama mnapendana kwa dhati.
Kuanza kuzunguka kwa marafiki na kumsema mwenza wako kwa madhaifu Yake si sawa, na ni kuuweka uhusiano wenu rehani.
Mbadilike wajukuu zangu
Labda chuma kimemzidiTunataka majibu ya kitaalamu kama haya . . Safi sana . .
Nimeshashuhudia pia hali hii kwa mizigo yangu miwili, mmoja hapa Dar mwingine Rwanda . . Na kwa kweli hawaliwi 0713 . .