Mwanamke kujifungua kwa tabu kutokana na ukubwa wa kichwa cha mtoto kulinganisha na Wanyama wengine: Je, akili ya Binadamu siyo Dunia hii?

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_6127.jpg


Karibuni sana tena Wazee wa Conspiracy Theories kwenye uwanja mwingine wa kujifunza masuala ya Mwanadamu kwa mtazamo wa kidunia. Najua humu kuna watu wana dini zao, so nitawaomba tuache pembeni imani zetu ili tuyafikirie haya wayasemayo Watafiti wenzetu katika Nchi za mbele.
Vyanzo mbalimbali vimekuwa vikitoa sababu mbalimbali zinazodai kuwa, changamoto zinazomkabili binadamu kulinganisha na viumbe wengine waliomo duniani, ni uthibitisho wa kipekee kuwa, asili ya binadamu siyo Dunia hii.
Baadhi ya hoja zinazotolewa kuonyesha kuwa, binadamu alitoka nje ya Dunia hii ni:
  • Ukubwa wa vichwa vya watoto wachanga.
  • Kuunguzwa na miale ya jua.
  • Binadamu kuumwa umwa hovyo ni dalili hafurahii mazingira ya Dunia.
  • Migongo kukaa vibaya na kutoendana na gravity.
  • Kujihisi kuwa, hapa duniani siko nyumbani.
Natumai wajuvi wa mambo tutasaidiana kwenye haya masuala ili tujengane kielimu.

IMG_6123.jpg IMG_6117.jpg IMG_6120.jpg

Humans do NOT come from Earth - and sunburn, bad backs and pain during labour prove it, expert claims | Daily Mail Online

Update:
Natumai mods watarekebisha title isomeke: Mwanamke kujifungua kwa tabu kutokana na ukubwa wa kichwa cha mtoto kulinganisha na wanyama wengine: Je, asili ya Binadamu siyo Dunia hii?
 
Je, Mwanadamu alitegemea Dunia iwe ni mchana tu muda wote, ndiyo maana anaugua ugua? Ina maana huko alikotokea kulikuwepo tu mwanga muda wote bila giza?
IMG_6119.jpg
 
View attachment 838647

Karibuni sana tena Wazee wa Conspiracy Theories kwenye uwanja mwingine wa kujifunza masuala ya Mwanadamu kwa mtazamo wa kidunia. Najua humu kuna watu wana dini zao, so nitawaomba tuache pembeni imani zetu ili tuyafikirie haya wayasemayo Watafiti wenzetu katika Nchi za mbele.
Vyanzo mbalimbali vimekuwa vikitoa sababu mbalimbali zinazodai kuwa, changamoto zinazomkabili binadamu kulinganisha na viumbe wengine waliomo duniani, ni uthibitisho wa kipekee kuwa, asili ya binadamu siyo Dunia hii.
Baadhi ya hoja zinazotolewa kuonyesha kuwa, binadamu alitoka nje ya Dunia hii ni:
  • Ukubwa wa vichwa vya watoto wachanga.
  • Kuunguzwa na miale ya jua.
  • Binadamu kuumwa umwa hovyo ni dalili hafurahii mazingira ya Dunia.
  • Migongo kukaa vibaya na kutoendana na gravity.
  • Kujihisi kuwa, hapa duniani siko nyumbani.
Natumai wajuvi wa mambo tutasaidiana kwenye haya masuala ili tujengane kielimu.

View attachment 838645View attachment 838649View attachment 838644

Humans do NOT come from Earth - and sunburn, bad backs and pain during labour prove it, expert claims | Daily Mail Online

Update:
Natumai mods watarekebisha title isomeke: Mwanamke kujifungua kwa tabu kutokana na ukubwa wa kichwa cha mtoto kulinganisha na wanyama wengine: Je, asili ya Binadamu siyo Dunia hii?
Nature of human ni animals since that binadam tabia nyingi hufanana na ile ya wanyama

Tofauti inakuja tu kuwa human wanauwezo mkubwa sana kutumia ubongo ukilinganisha ubongo wa binaadam na tembo ama dolphins zipo sawa portion tatu na labda ujazo tu sisi tuna kilo 1

Back borns pia hata wanyama wanayo pia na wanyewe wanaumwa kama wanavyoumwa binadam tofauti sisi tunaumwa mara kwa mara kutokana na shughuli tunazofanya na mazingira tupilia mbali body immunity yetu
So tupo at the right plannet
 
Kuugua hata wanyama wengine wanaugua,tofauti ni frequency ya kuugua.
Pia strength ya body immunity ya binadamu inatofautiana na wanyama wengine hii pia inaweza ikachangiwa na tofauti ya vyakula,wanyama wengine wanakula vyakula asilia ambavyo vinaimarisha immunity zao wakati binadamu vyakula vingi tunavyokula vinakua sio asilia hivyo kupelekea kudhoofisha immuzetu.
Lakini pia bado binadamu ana ufanano na wanyama wengine kama vertebrates kwani evolution inatueleza kuwa hao wote walishare common ancestor miaka mingi iliyopita kabla ya baadae kila mmoja kuchepuka kivyake,hivyo kama binadamu hajatokea katika hii sayari ya Dunia basi pia hata wanyama wengine especially vertebrates nao sio wa Dunia hii.
Kwa mfano inasadikika kuwa binadamu na jirani zake Chimpanzee wanaufanano katika DNA zao kwa 75%,hii inaashiria hawa jamaa walikua bloody related huko nyuma.
 
Nature of human ni animals since that binadam tabia nyingi hufanana na ile ya wanyama

Tofauti inakuja tu kuwa human wanauwezo mkubwa sana kutumia ubongo ukilinganisha ubongo wa binaadam na tembo ama dolphins zipo sawa portion tatu na labda ujazo tu sisi tuna kilo 1

Back borns pia hata wanyama wanayo pia na wanyewe wanaumwa kama wanavyoumwa binadam tofauti sisi tunaumwa mara kwa mara kutokana na shughuli tunazofanya na mazingira tupilia mbali body immunity yetu
So tupo at the right plannet
Vipi kuhusu shughuli za farasi na punda maana wanafanya kazi kubwa kuliko mwanadamu?
 
Kuugua hata wanyama wengine wanaugua,tofauti ni frequency ya kuugua.
Pia strength ya body immunity ya binadamu inatofautiana na wanyama wengine hii pia inaweza ikachangiwa na tofauti ya vyakula,wanyama wengine wanakula vyakula asilia ambavyo vinaimarisha immunity zao wakati binadamu vyakula vingi tunavyokula vinakua sio asilia hivyo kupelekea kudhoofisha immuzetu.
Lakini pia bado binadamu ana ufanano na wanyama wengine kama vertebrates kwani evolution inatueleza kuwa hao wote walishare common ancestor miaka mingi iliyopita kabla ya baadae kila mmoja kuchepuka kivyake,hivyo kama binadamu hajatokea katika hii sayari ya Dunia basi pia hata wanyama wengine especially vertebrates nao sio wa Dunia hii.
Kwa mfano inasadikika kuwa binadamu na jirani zake Chimpanzee wanaufanano katika DNA zao kwa 75%,hii inaashiria hawa jamaa walikua bloody related huko nyuma.
Na hapo ndipo idea kuwa, Binadamu walianzishwa na miungu waliokuja duniani inaleta mantiki kidogo.
Kumbuka kuwa, kihistoria wakati Binadamu wa mwanzo (Homo Sapiens) walipoanza kutoka Afrika miaka 120,000 - 60,0000 iliyopita, walikutana na kuoana na Neanderthals na Denisovans katika eneo la Minor Asia (Middle East). Historia inasema hivyo kwa sababu Homo Sapiens ndio waliodominate na kuwaua hao wengine. Lakini ni nini hasa kilitokea na kuwapata Neanderthals na Denisovans? Ni kweli waliuawa na Homo Sapiens?
Kwa kuwa, Homo Sapiens walitokea Afrika, basi walikuwa weusi na ndiyo maana maeneo yote ya Kusini mwa Asia (India & Papua Guinea) na Australia ambako hakukuwepo Neanderthals na Denisovans, Homo Sapiens waliendelea kuwa weusi. Je, kama Homo Sapiens alikuwa mwanadamu kamili kulinganisha na Neanderthals na Denisovans (wote walikuwa Homo Erectus), ilikuwaje Homo Sapiens (Waafrika, Dravidians, Papuans, Aborigins na Andamanese) ambao hawakuoana na Neanderthals (White - Wazungu) na Denisovars (Yellow - Waasia) wazidiwe akili na uzuri?
Ni kwenye hilo suala la kuwa za kujitokeza kwa Binadamu weeper, ndipo ninapoona logic kuwa, Anunnaki kuna kitu alikifanya kwa wanadamu, ndiyo maana tukawa na watu weupe..
 
Back
Top Bottom