Mwanamke ktk ujauzito 45+........

MulRZGM

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
1,012
739
Za leo wakuu, samahani... Mwanamke 45+ (miaka) kama ameshika ujauzito... mtoto akizaliwa atakua salama kiafya na kiakili? Kwa wale wataalamu msaada tafadhali, nawasilisha.
 
Mkuu samahani Kama Ni Msoma Bibilia hilo swali lako lilishajibiwa kitambo .....
Si msomaji kiviile... Naomba unielekeze ni sehem gan .. Tho nakaribisha mawazo toka kwa wengine pia haswa wale wataalam ktk maswala ya uzazi na walioexperience n wanaoexperience mazingira haya...
 
Ngoja madaktari waje.. Ila mara chache sana mwanamke kwenye huo umri kupata mimba, na hata akijifungua mtoto anakua hana zote au afya yake inakua mbovu..!!
 
Kwani mwisho wa mwanamke kuona siku zake ni miaka mingapi? na je akifikisha miaka zaidi ya 50 bado anapata MP kuna tatizo?;)
 
Kwani mwisho wa mwanamke kuona siku zake ni miaka mingapi? na je akifikisha miaka zaidi ya 50 bado anapata MP kuna tatizo?;)
Tunatofautiana wengine kuanzia 35. Mama yangu mkubwa alipata last born wake akiwa 50 ni kijana mwenye afya njem ameoa na familia na yeye ndiyo anamtumza sana mama yake. Ni kama Mungu alimpa msaidizi.
 
Tunatofautiana wengine kuanzia 35. Mama yangu mkubwa alipara last born wake akiwa 50 ni kijana mwenye afya njem ameoa na familia na yeye ndiyo anamtumza sana mama yake. Ni kama Mungu alimpa msaidizi.
Aisee basi ni hatari!
 
Watampima hospitali kuna uwezekano wa kuzaa mtoto mwenye downing syndrome lakini haya ninaona yanatokea mara nyingi kwa wazungu. Kuwa na imani ya Sarah mke wa Ibrahim kwenye kitabu cha Kutoka.
Sky, hili ni swali zuri, please bring a comprehensive answer. Tunakutegemea wewe please!
Nimepata risks hizi

  • The main issue for older mothers is the increased risk of conceiving a child with a chromosome abnormality, such as Down's syndrome.


  • You're more likely to have a difficult pregnancy. Pregnancy complications are another concern. In your 40s you're far more likely to develop problems like high blood pressure and diabetes during pregnancy as well as placental problems and birth complications.

  • You're at higher risk of a small or preterm baby. Women older than 40 are more likely to deliver a low-birth-weight or preterm baby. Stillbirth rates are also higher, and studies show that children born to older mothers may be at increased risk of type 1 diabetes and high blood pressure (though this association isn't strong).


  • Your partner's sperm is older too. Don't forget about your partner: Although men are physically capable of fathering children in their 60s and even their 70s, sperm quality deteriorates with age. Older men's sperm has a higher rate of genetic defects than younger men's sperm. In recent years, studies have suggested links between the father's age and genetically related conditions such as Down syndrome, schizophrenia, and autism spectrum disorder.
 
Za leo wakuu, samahani... Mwanamke 45+ (miaka) kama ameshika ujauzito... mtoto akizaliwa atakua salama kiafya na kiakili? Kwa wale wataalamu msaada tafadhali, nawasilisha.


Some of the risks include:
  • The main issue for older mothers is the increased risk of conceiving a child with a chromosome abnormality, such as Down's syndrome.


  • You're more likely to have a difficult pregnancy. Pregnancy complications are another concern. In your 40s you're far more likely to develop problems like high blood pressure and diabetes during pregnancy as well as placental problems and birth complications.

  • You're at higher risk of a small or preterm baby. Women older than 40 are more likely to deliver a low-birth-weight or preterm baby. Stillbirth rates are also higher, and studies show that children born to older mothers may be at increased risk of type 1 diabetes and high blood pressure (though this association isn't strong).


  • Your partner's sperm is older too. Don't forget about your partner: Although men are physically capable of fathering children in their 60s and even their 70s, sperm quality deteriorates with age. Older men's sperm has a higher rate of genetic defects than younger men's sperm. In recent years, studies have suggested links between the father's age and genetically related conditions such as Down syndrome, schizophrenia, and autism spectrum disorder.

Source: From the internet!
 
Za leo wakuu, samahani... Mwanamke 45+ (miaka) kama ameshika ujauzito... mtoto akizaliwa atakua salama kiafya na kiakili? Kwa wale wataalamu msaada tafadhali, nawasilisha.
Ndio Anakuwa Vizuri Sema Tu chance inaweza kuwa Ndogo... Kuna DNA defects zinaweza kujitokeza maana Hilo Yai Lililotunga Mimba Lina Miaka 45 toka Abalehe so Limekutana Na Challenge Nyingi za Madawa... Mionzi.... Stress n.k
 
Ndio Anakuwa Vizuri Sema Tu chance inaweza kuwa Ndogo... Kuna DNA defects zinaweza kujitokeza maana Hilo Yai Lililotunga Mimba Lina Miaka 45 toka Abalehe so Limekutana Na Challenge Nyingi za Madawa... Mionzi.... Stress n.k


Mkuu nimependa hizo features za yai la uzeeni ulizoelezea hapo....
 
Ndio Anakuwa Vizuri Sema Tu chance inaweza kuwa Ndogo... Kuna DNA defects zinaweza kujitokeza maana Hilo Yai Lililotunga Mimba Lina Miaka 45 toka Abalehe so Limekutana Na Challenge Nyingi za Madawa... Mionzi.... Stress n.k
Mkuu mayai si yanatoka ndo tunaita hedhi ...sasa inakuaje yai lake lina miaka hiyo ???
 
Mkuu mayai si yanatoka ndo tunaita hedhi ...sasa inakuaje yai lake lina miaka hiyo ???
Mwanamke Mayai Yake Hutengenezwa Akiwa Bado Yupo Tumboni Na Yanatengenezwa Kwa Idadi ambayoo wanasayansi wanakadiria Kuwa ni kati ya 300 mpk 500 ova(eggs). Na Anapokuwa Amezaliwa Yanakuwa Yamefikia Stage Tunaita Meiosis I. So yanakaa katika Ovary yakiwa katika Stage Hiyo Mpaka Pale Atakapobalehe na Siku Atakapoingia Hedhi ya Kwanza na Bahati Yai lake Likakuatana Na Mbegu ya Kiume basi Linaingua Stage Ya Pili Amabyo ni Meiosis II. Na linakuwa Complete Ovum with 23 chromosome na Ndipo lina Fuse na Sperm. .. kuna Elimu kubwa Hapo Kidogo


Sasa Niliposema Yai lake lina Miaka 45 nilimaanisha Hivyo hapo Juu .maana Yake Hilo yai lake Lililotunga Mimba Akiwa na Miaka 45 lilikuwepo Tumboni mwake Kwa Muda Wote Huo. maana Mwanamke Anatoa Yai Moja Moja Kila Mwezi So yapo Mengi ila Linakomaa Moja Tu na Ndilo linatolewa Nje...

So Kutokana Na Shughuli za Maisha Pamoja Na Genetic Disorder tunazorithi hilo yai Linaweza Likawa limepata Misukosuko Mingi ya Maisha Zikiwemo nilizozitaja Hapo Juu.. Madawa... Chemical .. Vyakula vibovu n.k..

Ingawa Pia Linaweza lisipate Changamoto hizo na Mtoto akawa Vizuri pia... Ingawa kwa Miaka Hii watoto wengi hupata Syndrome nyingi kama Mwanamke Akichelewa Kuzaa mapema
 
Sidhani mkuu mara nying watoto wanaozliwa na wazaz waliopiga age ndefu huwa vilaza* au matahira mara nying wanakuwa incomplete.

Madaktar wanashaur umri mzur wa kuzaa ni kunzia 18 hadi 30. Sababu wazaz wanakua active kimwili na mbegu za uzazi pia zinakua na afya.
 
INATEGEMEA MBONA WAPO HUKU USWAZI.PIA MADONNA AU JANETH JACKSON NI MFANO TOSHA
 
Sidhani mkuu mara nying watoto wanaozliwa na wazaz waliopiga age ndefu huwa vilaza* au matahira mara nying wanakuwa incomplete.

Madaktar wanashaur umri mzur wa kuzaa ni kunzia 18 hadi 30. Sababu wazaz wanakua active kimwili na mbegu za uzazi pia zinakua na afya.
Kwa hiyo Janet Jackson atazaa mtoto tahira maana kapata mimba ana 50yrs.
 
Kwa uzoefu kazini

Idadi inaongezeka ya wamama wanaokuja miaka 35 na kuendelea Kwa uzazi wao wa kwanza au wanaendea kupata watoto
Kwa wenzetu wazungu miaka ya kuolewa kupata Mtoto Si ajabu ni above 30
Tanzania na nchi nyingi hatushangai kupata mabinti wadongo miaka 18 hadi 30 japo wapo wnaofika nao ni significant miaka chini ya miaka 18 au zaidi ya miaka 35/40
JANATU NIMEMPATIA MAMA MTOTO WAKE WA KWANZA MIAKA 42

MADHARA
kuchelewa kupata Mtoto kunaongeza nafasi ya kupata Mtoto mwenya matatizo ya genetics hii ni kutokana na kuchoka Kwa miili yetu kigenetics hivo errors zinzweza kutokea wakati wa uumbaji" lugha rahisi'
Mfano watoto matàahira uwezo Mdogo darasani nk upo mkusanyiko wa mambo mengi ila Si wote wanapata shida ikumbukwe ni chance tu ya errors inaongezeka

Ushahid MTU wangu wa karibu alimpata last born wake akiwa 52 years anaendelea vizuri

Shida nyingine anazoweza pata mama ni matatizo ya kujifungua Kwa kawaida difficult labor ambayo inaweza kumuumiza Mtoto akapata kuumia ubongo INAWEZEKANA NDO MAANA WANASEMA WATOTO WATAKUA MATAAHIRA MTINDIO WA UBONGO maneno yangu
Hii inatokana na mifupa ya nyonga kuwa imekomaa na uwezo wa kutanuka wakati wa uchungu ni Mdogo

NAPENDELEA KAMA NI MTOTO WA KWANZA KWA OLD AGE BASI AJIFUNGUE KWA UPASUAJI
Nimesema MTU wangu wa karibu alipata Mtoto Kwa 52 kuhusu menopause idadi kubwa 45 early 50s
Wapo wanaowahi wapo wanaochelewa na kila moja lina faida na madhara yake kuwahi au kuchelewa "darasa jingine"

NI VYEMA KUPATA WATOTO WAKO UKIWA BADO KIJANA KIAFYA EVIDENCE BASED
 
Kwa hiyo Janet Jackson atazaa mtoto tahira maana kapata mimba ana 50yrs.
Hakuna jibu LA ndio au hapana ila nachiweza kukuambia Kwa MTU maarufu mpaka Kufukia sasa atakua ashafanya vipimo vingi na vya uwezo mkubwa kujua hali ya Afya ya mwanae ajae hivo anajielewa huku kwetu hakuna uwezo huo ni nature tu inafanya kazi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom