Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,436
Dada zangu kama hujui siku zako yaani huwezi kuhesabu vizuri hakikisha unatumia kinga, huyo mwanaume hatakuoa, iko hivi kama mwanaume hajakuoa si mume wako, ukibeba mimba yake basi jua kuwa wewe ni single mother. Ndiyo hata wewe ambaye unasoma hapa mimba ina miezi miwili kaikubali subiri ikifika miezi sita ndiyo utanielewa, narudia kama si mume wako basi acha kubeba mimba yake!
Sasa wewe jibebeshe mimba halafu uje kusema ni bahati mbaya, bahati mbaya kwani ulikua unapita njiani ukaikanyaga? Mwanaume ambaye hajaamua kuoa, ambaye hawezi kuoa basi jua kua hawezi hata kuhudumia mtoto? Sasa wewe jifanye una kizazi cha majaribio ndiyo uone? Kwanza nani kakudanganya kuwa uko peke yako, hivi mtu umejuana naye miezi sita unabeba mimba yake unafikiri kabla ya hapo hakua na mtu au hao aliokua nao hawkaua na vizazi!
Kuna sababu hawakutaka kuzaa naye na kuna sababu hakuzaa naye, hivyo ukijishaua kuwa unapendwa na kujiona kuwa ndiyo umefika nadhani itakua juu yako. Nikukumbushe tu kuwa wanaume wengi hawakatai mimba za miezi mitatu minne, mimba inakataliwa baada ya miezi sita au mtoto kuzaliwa, hapo anajua kuwa huwezi kuitoa hivyo anakataa akijua utapambanda mwenyewe mpaka mtoto akiwa mkubwa ndiyo atakuja kumchukua, nishamaliza, ambaye huniamini nenda kabebe na ambaye ushabebeshwa pole lakini sio mwisho wa maisha! Ulifanya hivyo kwa kua hukujua haya.. Sasa usitoe mimba maana tiari huyo ni kiumbe cha Mungu siyo cha huyo tena mwehu, mdanganyi ukizaa atakupa furaha na ukizaa kama amemkataa asimujue hivyo hivyo ila kutoa mimba ina madhara makubwa sana unaweza kua mgumba au ukasababisha kansa au ukasababisha mimba zako ziwe zinatungwa nje yamfuko wa uzazi, kuchelewa kupata mimba au kutopata kabisa sasa usitoe mimba ni kiumbe kisicho kua na makosa hicho ni malaika mwenye makosa ni mwanaume huyo asiyena huruma uliye dhani umepata kube laghai... UMENIELEWA?
Sasa wewe jibebeshe mimba halafu uje kusema ni bahati mbaya, bahati mbaya kwani ulikua unapita njiani ukaikanyaga? Mwanaume ambaye hajaamua kuoa, ambaye hawezi kuoa basi jua kua hawezi hata kuhudumia mtoto? Sasa wewe jifanye una kizazi cha majaribio ndiyo uone? Kwanza nani kakudanganya kuwa uko peke yako, hivi mtu umejuana naye miezi sita unabeba mimba yake unafikiri kabla ya hapo hakua na mtu au hao aliokua nao hawkaua na vizazi!
Kuna sababu hawakutaka kuzaa naye na kuna sababu hakuzaa naye, hivyo ukijishaua kuwa unapendwa na kujiona kuwa ndiyo umefika nadhani itakua juu yako. Nikukumbushe tu kuwa wanaume wengi hawakatai mimba za miezi mitatu minne, mimba inakataliwa baada ya miezi sita au mtoto kuzaliwa, hapo anajua kuwa huwezi kuitoa hivyo anakataa akijua utapambanda mwenyewe mpaka mtoto akiwa mkubwa ndiyo atakuja kumchukua, nishamaliza, ambaye huniamini nenda kabebe na ambaye ushabebeshwa pole lakini sio mwisho wa maisha! Ulifanya hivyo kwa kua hukujua haya.. Sasa usitoe mimba maana tiari huyo ni kiumbe cha Mungu siyo cha huyo tena mwehu, mdanganyi ukizaa atakupa furaha na ukizaa kama amemkataa asimujue hivyo hivyo ila kutoa mimba ina madhara makubwa sana unaweza kua mgumba au ukasababisha kansa au ukasababisha mimba zako ziwe zinatungwa nje yamfuko wa uzazi, kuchelewa kupata mimba au kutopata kabisa sasa usitoe mimba ni kiumbe kisicho kua na makosa hicho ni malaika mwenye makosa ni mwanaume huyo asiyena huruma uliye dhani umepata kube laghai... UMENIELEWA?