Mwanaume kwenye ndoa ama mahusiano serious anawajibika kumfanyia mwanamke mambo mengi, mwanamke jiulize kitu gani uta offer in return tofauti na papuchi?
Mwanaume anapaswa kufanya mengi yakiyomo haya.
1. Kumlisha mke wake ama mpenzi.
2. Kumtibia mke wake ama kuwajibika kumlipia huduma ya afya akiugua.
3. Kumvalisha mke wake, anapaswa kumpa hela ya mavazi mkewe kila baada ya muda.
4. Kumremba mke wake ama mpenzi, mwananme anawajibika na jukumu la hela za kusuka ama saloon
5. Malazi pia, mwanaume anapaswa kugharamia malazi ya mke wake iwe kwa kujenga ama kulipa kodi kupanga.
6. Maendeleo ya familia.. mwanamme anawajibika maendeleo ya familia kama ada za watoto ama za mke wake akiwa ana soma na hata uwekezaji wa miradi ya familia.
7. Mwanaume anawajibika kumpa mke wake hitaji la kimwili mpaka aridhike na pia kumpa mbegu nzito apate ujauzito ili azae . Mwanamme anapaswa kumaliza nyege za mkewe kitandani.
Mwanamke unapaswa ujiulize pia? Ukiacha kitandani na kuzaa watoto, una kitu gani cha ku offer kwa mumeo, ili ndoa ama mahusiano yenu yawe na fair play.
Mwanaume anapaswa kufanya mengi yakiyomo haya.
1. Kumlisha mke wake ama mpenzi.
2. Kumtibia mke wake ama kuwajibika kumlipia huduma ya afya akiugua.
3. Kumvalisha mke wake, anapaswa kumpa hela ya mavazi mkewe kila baada ya muda.
4. Kumremba mke wake ama mpenzi, mwananme anawajibika na jukumu la hela za kusuka ama saloon
5. Malazi pia, mwanaume anapaswa kugharamia malazi ya mke wake iwe kwa kujenga ama kulipa kodi kupanga.
6. Maendeleo ya familia.. mwanamme anawajibika maendeleo ya familia kama ada za watoto ama za mke wake akiwa ana soma na hata uwekezaji wa miradi ya familia.
7. Mwanaume anawajibika kumpa mke wake hitaji la kimwili mpaka aridhike na pia kumpa mbegu nzito apate ujauzito ili azae . Mwanamme anapaswa kumaliza nyege za mkewe kitandani.
Mwanamke unapaswa ujiulize pia? Ukiacha kitandani na kuzaa watoto, una kitu gani cha ku offer kwa mumeo, ili ndoa ama mahusiano yenu yawe na fair play.