Mwanamke: Je unashindwa kujenga uhusiano imara, sababu ni hizi hapa….!

I can vouch for you.

Your wife loves me a lot because I lay down the pipe more than you could ever do.

And that's why she calls you Ngabu when your name is Bishanga.
darling phina,huyu mkaka kweli yuko sawa au tumpeleke kwa bibi?
 
Last edited by a moderator:
Addition to No.3 plz,
Wanaume wengi huwa na upendo wa kihisia kwa mtu mmoja mmoja(@least most of the times),
Ila ni warahisi sana kufuata whim zao, Kwa hiyo utakuta mwanaume anakuwa na msichana kwa sababu huyo msichana anaappeal kwake kingono(face,figure,body parts n so...) na kwa sababu protocali zinazomuongoza huyo dada katika mpango mzima wa seduction ni rahisi...(vigezo na masharti nafuu)
Na most of the times ambapo a man has more than 1lover then kawatamani wote.
 
haya kazi ipo na ndio maana miye huwa nawashangaa sana ambao kwao akipata bf kesho ngono inaanza kumbe ni kujizeesha tu. mwanmke ujitunze wasikurubuni manake wanaume huwa hata siku moja hawachoki kufanya ngono. kwao kila akipewa basi atakubali na huwa wala haimaanish chochote katk maisha yao zaid ya starehe tu.

hahahahaha
duuuh
 
umenikumbusha marehemu jamaa yetu aliwahi kusema kuwa hata kama hatukumzika mabibi zake wote wakifika kaburini na kila mmoja akadodosha chu.pi yake moja kaburini litajaa,ndo hayo ya dar express,hongera kwa kuji express,mwili wako babu utumie utakavyo!

hahahahahahah
 
Back
Top Bottom