UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
Hivi wanajamvi ukiwa na mwanamke asiyesikia kiburi anatukana na anayekosa na baada ya kosa anaomba msamaha kwa kunyenyekea sana na baada ya wiki au mwezi anarudia kosa lile lile au linalofanana na lile au baya zaidi.
Kimsingi usaliti hajawahi kukutwa nao lakini hayo makosa mengine ya kiburi na akikasirika hata anakuambia watoto ni wake tu anakutimua toka ndani kwakwe lakini nyumba ni ya kupanga na mwanamme ndo analipa kodi.
Sasa mwanamke wa namna hii na watoto wawili wapo unaweza mfanya nini niwaombe tu dada zangu na mama zangu mnapokuwa mmeolewa jaribuni tu kuwaheshimu kwani wanaotafuta wanaume wa kuwaoa ni wengi,usitukani jaribu tu kutoa kusema anastahili adhabu gani wana jf.
Kimsingi usaliti hajawahi kukutwa nao lakini hayo makosa mengine ya kiburi na akikasirika hata anakuambia watoto ni wake tu anakutimua toka ndani kwakwe lakini nyumba ni ya kupanga na mwanamme ndo analipa kodi.
Sasa mwanamke wa namna hii na watoto wawili wapo unaweza mfanya nini niwaombe tu dada zangu na mama zangu mnapokuwa mmeolewa jaribuni tu kuwaheshimu kwani wanaotafuta wanaume wa kuwaoa ni wengi,usitukani jaribu tu kutoa kusema anastahili adhabu gani wana jf.