TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,974
- 15,310
Hao asilimia 5 ni wale vichaa ambao hawakutakiwa kuolewa in the first place.Ila hiyo asilimia 5 wanaolipiza, show yao unaionaje?
Hao asilimia 5 ni wale vichaa ambao hawakutakiwa kuolewa in the first place.Ila hiyo asilimia 5 wanaolipiza, show yao unaionaje?
Ni kununa, kukunyima papuchi na kugawa mbususu basi hawana jipya.Kwani shida ni yeye kugawa? Unahisi njia pekee ya mwanamke kukuumiza ni kugawa mbususu yake kwa mwanaume mwingine? Loh, bado sana.
Wameacha Kauli Mbiu Ya John Kuwa Cherehani Nne Ni Kiwanda Sasa Hivi Wanapambana KulowekaKwa hiyo
Bado sana.Ni kununa, kukunyima papuchi na kugawa mbususu basi hawana jipya.
Wewe hujakutana na Mwanamke ana roho ya kisasi kuna ex wangu alikuwa ana kauli kama zako mbona aliikimbia dar kwa ajili yangu na akija anakuja kwa kujificha.Hamna maajabu yeyote ktk yote niliyoshuhudia niliyofanya mkitendwa bado sijaona kama kuna kisasi cha kutushtua wanaume
Hao sio wote mimi nikiamua kumnyoosha Mwanaume atasimulia kwa wenzie nimekutana na lishetani si yeye.Wanawake bana mnajuaga kujipa sifa..! 😄
Hicho kisasi cha mwanamke ni kipi? Mimi naona wanawake wanachitiwa kila siku na waume zao na ushahidi wanao na hamna kisasi chochote zaidi ya kulia lia tu na kukimbia kwa wazee/wachungaji nk kwenda kulalamika. Asilimia 95 ya wanawake hata mwanaume akichepuka hawafanyi chochote zaidi ya kulia na kulalamika na mwisho kusamehe.
Haha unaona sasa nyie maneno mengi hamna kisasi kutuzidi sisi na kama ni ukatili hivi wanawake mna ukatili gani kuwazidi wanaume ? Maana kama ni ushetani sisi ndio mashetwani hasaWewe hujakutana na Mwanamke ana roho ya kisasi kuna ex wangu alikuwa ana kauli kama zako mbona aliikimbia dar kwa ajili yangu na akija anakuja kwa kujificha.