CCM Kweli Haina Sera. Haina Hoja. Haina Uongozi. Haina Support. Haikubaliki na Wananchi. Hivi Karibuni Wamechukua Uongozi kwa Mabavu. Wiki Hii Wanamweka Mwanamke Kama Spika. Hii ni Dharau kwa Wananchi na Kujalibu Kutafuta Kura kwa Wanawake. Wananchi wa Kitanzania Sio Wajinga Hivyo. Wananchi Wanataka Mabadiliko na CCM na Kikwete Wanaita Haya "Change You Can Believe" Wanawake Inchini Wameonewa vya Kutosha - Wengi Wananyanganywa Mali Waume Zao Wakifa na Kuachwa na Watoto na Umaskini Juu, Wanawake Wanapewa Magonjwa na Hao Hao Matajili wa CCM, Wanawake Ndio Back Bone ya Familia Zetu Wote Watanzania na Wanawake Ndio Wametuzaa na Kutupa Mapenzi ya Kweli ya Kitanzania. Wananchi Tunawaheshimu Sana Wanawake na Dada Zetu. Itakuwa Safari Kubwa kwa Huyu Anna Makinda. Makinda Anafikiri Kukaa Kwake Serikalini kwa Miaka Arobaini ni Vile Vile Nchi Bado Imelala. This Time There is No Joke and We are Going to Lunch Transparency Policy Toward Bunge. Tutaangalia Kila Bill na Jinsi Gani Itakavyoruhusiwa Kupata Nafasi Kujadiliwa na Kupitishwa. Itakuwa Aibu Kama Mwanamke Atakubali nchi Iendelee Kuibiwa Utajili, Kuendeshwa kwa Udikteta na Kuendeleza Matumizi ya Fedha Hovyo. Karibu Makinda Somo la Siasa 2010. Hii ni Nchi ya Sisi Sote Sio Familia Zenu Tu.