Mwanamke bikra na asiye bikra

Frank King

JF-Expert Member
Oct 7, 2012
1,310
886
Nimefanya utafiti wa muda mrefu mno lkn bado nimeambulia patupu,nahitaji mawazo yenu ikiwezekana ya Yakitaalam zaidi/Yakitafiti.

Eti ni kweli mwanamke akiolewa ili hali ametunza Usichana wake yaani Bikra kwamba /Mume na Mke wanafurahia tendo la ndoa vizuri?

Vipi kuhusu aliyejirusha vyakutosha kisha akaolewa?

Ni kweli Mwanamke akibikiriwa na mtu huwa anaMkumbuka?
Na km anamkumbuka...!anamkumbuka kwa lipi?

Nifungueni hapo!!
 
Kile unachokijua ndo kitamu, ni mpaka ujaribu kingine ndo uanze Ku compare" na ndo mwanamke bikra alivo. Anamjua bwana wake tu ndo mtamu mwingine ni mpaka ajaribu"

Hawa ( used) ni kuvumiliana tu ladha nyingi anazijua, akikucompare na x wake anakua anakuchora tu"
 
Kile unachokijua ndo kitamu, ni mpaka ujaribu kingine ndo uanze Ku compare" na ndo mwanamke bikra alivo. Anamjua bwana wake tu ndo mtamu mwingine ni mpaka ajaribu"

Hawa ( used) ni kuvumiliana tu ladha nyingi anazijua, akikucompare na x wake anakua anakuchora tu"
sawasawa mkuu nimekupata...kuna ukweli kwenye hili!!)
 
Mkuu ukioa mwanamke ambaye sio bikra basi umeoa mke wa mtu, Chapa Chapa ila wa kuweka ndani hakikisha ni silidiii, najua watakuja kutokwa povu kuwa je hao unaochapa wataolewa na nani? Hao wameshaamua kuvua nguo kabla ya ndoa hawana haki ya kuolewa na Acha tu waendelee kuwa single mothers, Ww jikoroge uchukue mzigo ambao K imetepeta kama mpira Lazima uisomee number
 
Naomba niweke mawazo yakinifu, kila kazi inataka uzoefu. Kwa mantiki hiyo basi, huwezi kuoa mwanamke asiye na uzoefu, kimsingi unatakiwa uoe mwanamke aliye wahi kuolewa akaachika achilia mbali asiye na bikira. Vitu vingine tumia akili yako na siyo ya kuambiwa
 
Mkuu ukioa mwanamke ambaye sio bikra basi umeoa mke wa mtu, Chapa Chapa ila wa kuweka ndani hakikisha ni silidiii, najua watakuja kutokwa povu kuwa je hao unaochapa wataolewa na nani? Hao wameshaamua kuvua nguo kabla ya ndoa hawana haki ya kuolewa na Acha tu waendelee kuwa single mothers, Ww jikoroge uchukue mzigo ambao K imetepeta kama mpira Lazima uisomee number
Nimeipenda sana hii!!yaani hawa walioiachia weeeeee ni tatizo kubwa na akibahatika kuolewa tu siku ya honeymn anakuchora tu kisha unaisoma namba.
 
Back
Top Bottom