Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Mwanamke mmoja anayetokea katika jimbo la Mpumalanga nchini Afrika Kusini amepewa talaka na mumewe siku ya fungate (honeymoon day) baada ya mume kuona sura ya mkewe kwa mara ya kwanza bila kupodolewa.
Bwana harusi alidai kuwa mkewe amemfanyia udanganyifu kwa kuwa na sura bandia, kope bandia na uso uliorembwa sana kiasi cha kushindwa kumtambua siku mkewe alipokutananaye bila kutumia vipodozi.
Wawili hao ambao walikutana Facebook wamekuwa katika uhusiano kwa miezi 3 kabla ya kufunga ndoa mapema mwezi huu lakini kwa kipindi chote hicho mume hakuwahi kumuona bibiye bila makeup.
Baada tu ya harusi, bibi harusi alipata ushauri wa kitabibu kutotumia tena vipodozi mana vinamwaathiri afya na akili yake ndipo alipoamua kuacha siku wakiwa fungate.
Mumewe anadai kuwa alipomwona mkewe asubuhi alishtuka akidhania amevamiwa na mtu mwingine lakini mkewe alikaza kuwa asiogope maana ndiyo yeye ila daktari amemshauri asitumie vipodozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana harusi alidai kuwa mkewe amemfanyia udanganyifu kwa kuwa na sura bandia, kope bandia na uso uliorembwa sana kiasi cha kushindwa kumtambua siku mkewe alipokutananaye bila kutumia vipodozi.
Wawili hao ambao walikutana Facebook wamekuwa katika uhusiano kwa miezi 3 kabla ya kufunga ndoa mapema mwezi huu lakini kwa kipindi chote hicho mume hakuwahi kumuona bibiye bila makeup.
Baada tu ya harusi, bibi harusi alipata ushauri wa kitabibu kutotumia tena vipodozi mana vinamwaathiri afya na akili yake ndipo alipoamua kuacha siku wakiwa fungate.
Mumewe anadai kuwa alipomwona mkewe asubuhi alishtuka akidhania amevamiwa na mtu mwingine lakini mkewe alikaza kuwa asiogope maana ndiyo yeye ila daktari amemshauri asitumie vipodozi.
Sent using Jamii Forums mobile app