Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,883
- Thread starter
- #21
Kuna walioumbwa kutotawalika, kutopendeka na kutojaliwa
Hata ufanye nini viburi vyao huwapeleka next level
Bahati mbaya wakishavuka 40 wanakimbilia nyumba za ibada, wanakua mabalozi wa kupandikiza chuki against men Kwa wasichana
With the digital revolution- don’t bet anything for or against women
Naam