ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
"Ilikuwa ni dakika 10 tu sio masaa mawili kama kawaida yetu, iweje majirani wametusikia wakati kitanda tulikiamshia chumba cha chini na sio chumbani", alilalamika Caroline.
Hahahaha dahh nimecheka sana ... spare my ribs aise ....Yaani mpaka kiziwi huwa anazisikia hizo kelele dah !
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unajiwahi sasa Mr mtabiri?Halafu we kapisi unaonekana kabisa una vaibreshen ya hatari.
Usiniulize nimejuaje na wala Usifikirie kua nna undugu na shee yahaya useni.
Maendeleo hayana chama