Mwanamke Anayewatesa Majirani Kwa Kelele za Ngono Ashindwa Kesi

Naona katiba hazifanani, au alikosea kujibu maswali, hao majirani walitakiwa kulipa fidia kwa kuingilia uhuru wa mwenzao.....(lakini maadili nayo)....
 
Kweli hasa sisi huku uswahilini Mbagala Kuzuiani tuna tatizo kama hilo. Ila tunawaheshimu jamaa na kuwahifadhi, ni kinyume na maadili kuanza kuwarekodi na kuwafikisha kwa Pilato!.
 
Back
Top Bottom