Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,676
- 5,576
Kwa uzoefu wangu mdada akikuzungusha wakati wa ww kumtongoza bhas huyo Mdada hana hisia za kimapenzi na wewe na kakuona wewe ni option yake ya 867 kama uhusiano alionao ukibuma, akikuzungusha mda mrefu hata akija kukubali baadae, atakukubali kwasababu ya pesa zako akuchune hela yako wee, au atakukubali sababu kuwa wanaume aliowataka wamemtosa..na wewe umekaa ki-husband material, u seem responsible na una kikazi cha kulea familia.
Zaman nilidhani Mdada akinizungusha ni kwamba ananipima kama nampenda kweli, kumbe I was very wrong!!
Ukiona process ya kumtongoza Mdada inakua ni kama kung'oa jino bila ganzi, bhas my brother that woman is really not for u..hata ukija mpata utakua umetumia hela nyingi au Mdada kakosa namna hana wa kumtoa upweke wa kihisia na wa kipesa, anaona ajibane kwako ukiona unataka onana nae anakwambia, yuko busy, ana boyfriend, anakwambia Hana nafasi, anakuambia atakuja hlf haji, ukimtumia sms hajibu kwa wakati, mara akuombe hela za saluni kila kukicha bhas my nigga achana na iyo project.
Mdada akikukubalia sio lazma akupe sex, maana mdada anaweza akakupa sex rahisi ya bure na kesho yake akakutema, utaona jinsi anavokutreat, atapenda sana kuspend time na wewe, na kutembea na ww, atakupa vijipesa vya hapa na pale, atakua anakupa that look, ambayo inakwambia to her u are the sexiest man in the world, so mahusiano yenu yataanza kirahisi, sio yaanze na michezo ya paka na panya (head games)
Nia ya hili bandiko langu ni kuwasadia wanaume wenzangu wasipoteze sana muda na pesa zao kwa wanawake wasiowafaidisha chochote kwenye ujana wao, badala yake wawekeze muda na juhudi zaidi katika kumtafuta Mungu, pesa, na mwanamke bora zaidi.
The end
Zaman nilidhani Mdada akinizungusha ni kwamba ananipima kama nampenda kweli, kumbe I was very wrong!!
Ukiona process ya kumtongoza Mdada inakua ni kama kung'oa jino bila ganzi, bhas my brother that woman is really not for u..hata ukija mpata utakua umetumia hela nyingi au Mdada kakosa namna hana wa kumtoa upweke wa kihisia na wa kipesa, anaona ajibane kwako ukiona unataka onana nae anakwambia, yuko busy, ana boyfriend, anakwambia Hana nafasi, anakuambia atakuja hlf haji, ukimtumia sms hajibu kwa wakati, mara akuombe hela za saluni kila kukicha bhas my nigga achana na iyo project.
Mdada akikukubalia sio lazma akupe sex, maana mdada anaweza akakupa sex rahisi ya bure na kesho yake akakutema, utaona jinsi anavokutreat, atapenda sana kuspend time na wewe, na kutembea na ww, atakupa vijipesa vya hapa na pale, atakua anakupa that look, ambayo inakwambia to her u are the sexiest man in the world, so mahusiano yenu yataanza kirahisi, sio yaanze na michezo ya paka na panya (head games)
Nia ya hili bandiko langu ni kuwasadia wanaume wenzangu wasipoteze sana muda na pesa zao kwa wanawake wasiowafaidisha chochote kwenye ujana wao, badala yake wawekeze muda na juhudi zaidi katika kumtafuta Mungu, pesa, na mwanamke bora zaidi.
The end