Soma maelezo ndani ya hilo box la dawaEmerginor
LevonorgestrelView attachment 1131184
Hii dawa kwa ajili ya kuzuia mimba kwakuwa mtoto bado ananyonya na ana miezi 4 sasa ili kuepuka mimba maana mke wangu hapendi matumizi ya kondomu hasa siku za hatari
Ngaja tuwasikilize madaktari hapaMaelezo nimesoma yanasema kama mwanamke ananyonyesha apate ushauri wa daftari...najua humu kuna madaktari hivyo ndo nasubiri ushauri hapa.
Tatizo ni kujua nani daktari humuMaelezo nimesoma yanasema kama mwanamke ananyonyesha apate ushauri wa daftari...najua humu kuna madaktari hivyo ndo nasubiri ushauri hapa.
Kwa hiyo anatumia hivyo vidonge kila siku kama njia ya uzazi wa mpango au anameza just for emergency ?Emerginor
LevonorgestrelView attachment 1131184
Hii dawa kwa ajili ya kuzuia mimba kwakuwa mtoto bado ananyonya na ana miezi 4 sasa ili kuepuka mimba maana mke wangu hapendi matumizi ya kondomu hasa siku za hatari
Just for emergencyKwa hiyo anatumia hivyo vidonge kila siku kama njia ya uzazi wa mpango au anameza just for emergency ?
Asante mkuuHaina effect kwa maziwa wala mtoto so aweza kutumia!
Kwahiyo JF yote haina daktari hata mmojaTatizo ni kujua nani daktari humu
Just for emergency
Nashukuru mkuu,na mimi naogopa kutetelesha afya ya mtoto.Kuna pill nyingine inaitwa morning after pill. Hii ukila mzigo usiku asubuhi anabugia ila sijui athari yake kwa maziwa ya mama anayenyonyesha.
Nashukuru mkuu,na mimi naogopa kutetelesha afya ya mtoto.