Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Wanaume wanaowataka wanawake kisa matako makubwa wanaingia kwenye kundi lipi ?Ndio maana chizi mwanamke anaweza kuwa na watoto hata sita, ila chizi mwanaume hana mtoto hata mmoja..
Wanawake ni wa hisia, ndo maana misibani wanaongoza kulia. Na wanaume ni logic ndo maana wamejaa jeshini na mahakamani
Inshort wanawake wangekuwa kama wanaume, wanaume wengi wangebaki single, maana imagine mwanamke anampendea mtu kunukia tu huezi kusikia mwamba kampenda demu kisa ananukia vzr , au kampenda mwanamke kisa anafaulu vzr darasani
Na wana tofauti ipi na wanawake wanaowapenda wanaume kwa sababu ya kifua ?