Manton
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,164
- 1,520
Natumaini wote mnatekeleza majukumu yenu bila shida pamoja hofu za hapa na kule, kiuchumi na kijamii poleni kwa wenye kuistahili na hongera kwa wote wenye utulivu katika vitanda vyao wanavyolalia na wenzi wao wa viapo kufa na kuzikana, kwa wale wenye kuamini hivyo.
Nilikuwa na muda mrefu tangu nishuhudie mke wa mtu akitoa utamu wake nje ya makubaliano ya kiapo cha utii na uaminifu kwa mmewe hata hivyo wahenga walituusia ukiona vya mwenzio vyaliwa, chunga na vyako visiliwe, na ndiyo maana nataka kujua chanzo cha mwanamke\mke wa mtu, kujifunuafunua kwa kila shemeji yake ni nini haswa?
Nilikuwa na muda mrefu tangu nishuhudie mke wa mtu akitoa utamu wake nje ya makubaliano ya kiapo cha utii na uaminifu kwa mmewe hata hivyo wahenga walituusia ukiona vya mwenzio vyaliwa, chunga na vyako visiliwe, na ndiyo maana nataka kujua chanzo cha mwanamke\mke wa mtu, kujifunuafunua kwa kila shemeji yake ni nini haswa?