Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Kiukweli wakati nimepotea kidogo hapa jukwaani baada ya kutoka nchini syschelles nilikua busy sana na biasahara zangu, nilikua nikizunguka mikoa mbalimbali kwa ajili ya biashara zangu, wakati nipo kwenye mkoa mmojawapo kuna dada mmoja nimekua nikifanya nae sana biashara, akaniomba nikale nae chakula cha usku kwake kwani anaishi mwenyewe na hana mume, watoto wapo mjini pale yupo kikazi tuu.
Kiukweli nilienda nikajua ni chakula cha usku tuu baada ya hapo ninaondoka, wakati tunakula pale bila kupepesa macho wala kuuma maneno yule dada akaniambia "UNAJUA MI NAKUPENDA SANA, MINANICHOTAKA KWAKO SIO PESA WALA SITAKI FUTURE NAWEWE KAMA NI WATOTO NINAO, MIMI NATAKA UWE UNANIPA MAPENZI TUU PALE NITAKAPOHITAJI! " nilipigwa na butwaa sana.
Kiukweli baada ya maongezi yale ilinibid nimuombe anionyesha kitanda kilipo nipumzike kwanza kidogo kabla ya kuondoka maana maneno yale yalinichosha akili na mwili kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli nilienda nikajua ni chakula cha usku tuu baada ya hapo ninaondoka, wakati tunakula pale bila kupepesa macho wala kuuma maneno yule dada akaniambia "UNAJUA MI NAKUPENDA SANA, MINANICHOTAKA KWAKO SIO PESA WALA SITAKI FUTURE NAWEWE KAMA NI WATOTO NINAO, MIMI NATAKA UWE UNANIPA MAPENZI TUU PALE NITAKAPOHITAJI! " nilipigwa na butwaa sana.
Kiukweli baada ya maongezi yale ilinibid nimuombe anionyesha kitanda kilipo nipumzike kwanza kidogo kabla ya kuondoka maana maneno yale yalinichosha akili na mwili kwa ujumla.
Sent using Jamii Forums mobile app