X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Gonga hapa chini uangalie Video hii kisha unaweza kutoa maoni yako.
ipo youtube
http://www.youtube.com/watch?v=qfgrN8tzJJA&feature=fvw
hii majuu kudadadeki ila jamaa alikuwa kalewa....jimama kama ili bana ukiwa nalo unahitajika ule msuba daily
hell nooo.......sio kwamba siwezi kuwahimili la hasa ila hawana radha.....vitu vyangu kama MG....Nasikia unapenda mijanamke kama hilo....
hell nooo.......sio kwamba siwezi kuwahimili la hasa ila hawana radha.....vitu vyangu kama MG....
nakuambia nitaku2mia picha kwenye PM uone.......kwani basi unafikiri anatisha sana? kwanza ana bahati ku hange na mieMG sio type yako wewe...
nakuambia nitaku2mia picha kwenye PM uone.......kwani basi unafikiri anatisha sana? kwanza ana bahati ku hange na mie
bwa ha ha ha ha najua hata picha umeshasema nitazifanyia photoshop....yule mbona wa kawaida tu......eeheheheheee.....MG sio league yako...
wewe dili na mange kitambi wako...MG ni classy, sassy, and drop dead gorgeous. Wee ishia kupigia puli tu picha zake
ipo youtube
http://www.youtube.com/watch?v=qfgrN8tzJJA&feature=fvw
hii majuu kudadadeki ila jamaa alikuwa kalewa....jimama kama ili bana ukiwa nalo unahitajika ule msuba daily
hilo li amazon unalifananisha na mi mama ya kinyakusa-jesus of nazareth where has all the respect gone !!!!!!!!!!!!!...salaaaaaale! inanikumbusha kinamama wa kinyakyusa!
Mbaya zaidi jamaa anakula kichapo mbele ya 'wanawe', na huyu mwanamama anaonekana ana enjoy kumpa kisago huyu mheshimiwa!
Balaaa!
hilo li amazon unalifananisha na mi mama ya kinyakusa-jesus of nazareth where has all the respect gone !!!!!!!!!!!!!
bwa ha ha ha ha najua hata picha umeshasema nitazifanyia photoshop....yule mbona wa kawaida tu......
lol MK labda fair Player sio mie