Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 693
mwanamke asikose chupi mia 300
umefuata nini huku wakati wewe me hapakuhusu
umefuata nini huku wakati wewe me hapakuhusu
Kuwa na Pichu 364 x 9 kila siku badilisha PiCHU 9Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Haaahaaaa....kuna watu mna visa balaa...wengine hawajari hata hizo appointment maana kuna mengine ni ajari barabaraniWengine hatuvaagi tunapunga upepo tu tunanunua tukiwa na appointment
KUMBEEMummy zikianza kuchakaa tonne tu la mkojo harufu yake ni balaa hasa pale Dodoma
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
inaitwa raha jipe mwenyewe babake..Wengine hatuvaagi tunapunga upepo tu tunanunua tukiwa na appointment
Kabisaa.. Mi natupa km imenibana ama imechokaVaa mpaka ichoke au uichoke .. chupi kama nguo nyingine tu sema inagusana gusana na utamu
Loweka kabla ya kufua,chupi itadumuzinachakaa kwa sababu ya kusugua wakat wa kufua...
KabisaKabisaa.. Mi natupa km imenibana ama imechoka
Mda mwingine kuna chupi unaipendaa hiyoo japo imechoka htrr..
Nadhani hii mada hainihusu...Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Siku za kwenda mwezini inakuaje...?Hahaha mi naona wanawake kuvaa pichu ni mkijiingizea gharama za mausha tu. Wanawake mnavaa pichu ili kuzuia nini?! Nini kitadondoka au kukaa vibaya usipovaa?! Pichu kwa wanawake ni sawa na kuvaa bangili mkononi tu. Yani hata usipovaa haina tofauti. Hivyo mwanamke jipunguzie gharama, achana na uvaaji wa pichu.
Hahahah wazungu wanaleta chupi Africa, sie tutapeleka kuzimu amaaHuwa kuna chupi za mtumba, kwanini watanzania hatuna kawaida ya kutoa chupi zetu zigawiwe kama mtumba