Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Sasa hiyo ya
kuwezeshwa mkuu hapa ikoje wakati huyo mama alikuwa na dhana kamili na
nguvu zake wewe wasema tukiwezeshwa ? Heeee
ha ha ha hapo nimechapia ladyfurahia
Sasa hiyo ya
kuwezeshwa mkuu hapa ikoje wakati huyo mama alikuwa na dhana kamili na
nguvu zake wewe wasema tukiwezeshwa ? Heeee
madaktari wakimpatia matibabu mwanamke aliyeua chui
mama mwenye umri wa miaka 54, kamla devi amefanikiwa kumuua chui baada ya kupigana nae kwa takribani dakika 30 huko india.mkasa huo ulimkuta mwanamke huyo akiwa katika harakati zakurudi nyumba baada ya kuhitimisha shughuli za shamba ndipo njiani mamaa! Kakutana na chui ndipo vurugu zikaanza, kwakuwa mama huyo alikuwa na mundu najembe dogo aliweza kumdhibiti mnyama huyo asiweze kumdhuru.
mapigano hayo yalidumu kwa dakika kadhaa baada ya kila mmojakujeruliwa, ila mama huyo alipoteza nguvu nyingi kutokana na kuvuja damu sanakabla ya kupata msaada, na baadae watu walimtafuta chui na kumkuta amekufa pembeni yake kichakani.
mama huyo anaendelea na matibabu katika hospital kuu ya india. Kuna wanaume wanajifanya wababe sana na kuwaonea wanawake kwa kuwapiga au kuwanyanyasa, sasa wamfuate na huyo mama wakakione cha moto, chui kafa! Wewe sijui atakufanyaje huyu mama,tusiwachukulie poa wanawake wako fiti pia. Mia
chanzo: Tabianchi
Halafu vichui vyao kama vimbwa koko,tena chui wao hawana mafunzo ya kukwepa mundu na jembe angekutana na chui wa ruaha au serengeti wangemkuta huyo mama kabaki khanga -no sari zake tu!
Kungekuwa kuna kujaribu tungekupeleka wewe up ambiance na huyo chui, mana usije kuwa wasema hayo Wakati ndo wale ndani kuna Panya unatoka nduki
Chui kabisa, au chui mzee mwenzie ? ??!!!! zake zilikuwa bado tu!!!!
Mungu amjaalie uponaji wa haraka
chui ni chui hata awe mzee
duuu hii kali sanaDuuu huyu ndio shujaa wetu wanawake kwa mwaka huu Mungua amjaliie afya njema apone mapema
Nimekutafuta siku ya tano leo, sikuoni. Kumbe uko huku. Fanya mpango uje kijiweni.
chui ni chui tu wengine hata hawajawahi kuua mende