Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Imetokea huo kenya Mombasa, mwanamke huyo aitwae Pauline amemkata mumewe sehemu za siri baada ya mwanaume huyo kumpiga na yeye alikuwa akijilinda baada ya ugomvi kuzuka kuhusu mkopo wa benki mume huyo alichukua
Amedai pia mwanamke huyo alikuwa akimpiga sana mara kwa mara na kumsababishia mimba kutoka na mwanaume huyo amekufa akiwa anapokea hospitali
Amedai pia mwanamke huyo alikuwa akimpiga sana mara kwa mara na kumsababishia mimba kutoka na mwanaume huyo amekufa akiwa anapokea hospitali