wilcoxon
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 1,094
- 2,831
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamua kuingia mtaani kusaka mume huku akiwa amebeba bango katikati ya jiji la Nairobi. Akiwa amevalia nguo nyeupe- kama ya harusi- mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 28, Pris Nyambura, amebeba bango linalosema: “Nahitaji mume, nina mtoto wa kike wa miaka saba.”