Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kwa wale watalaamu wa saikolojia Hebu nisaidieni ukiona mwanamke wako haku amini amini huwa ana sifa za aina Gani maana
1. Akiona simu yako tuu anachukua anaanza kuipekua ajue kuna nini akiona kitu akielewi anakuuliza maswali ya kukutega
2. Saa nyingine hata katika mazungumzo ukimwambia huna hela hakuamini
3. Saa nyingine hata maongezi ya kawaida hakuamini amini kila unachoongea anaona ni porojo au unamdanganya
4. Kuna wakati anakupigia simu unamweleza nipo home nimepumzika basi utasikia ingia whatspp tuongee kwa video call
5. Umelala zako anakupigia simu usiku wa manane anaamsha anataka kujua umelala na mwanamke akiona hakuamini anakupigia video call akuone na mambo mengine mengi
Hebu tusaidianeni, sifa za hawa watu wa hii huwa wana sifa gani?
1. Akiona simu yako tuu anachukua anaanza kuipekua ajue kuna nini akiona kitu akielewi anakuuliza maswali ya kukutega
2. Saa nyingine hata katika mazungumzo ukimwambia huna hela hakuamini
3. Saa nyingine hata maongezi ya kawaida hakuamini amini kila unachoongea anaona ni porojo au unamdanganya
4. Kuna wakati anakupigia simu unamweleza nipo home nimepumzika basi utasikia ingia whatspp tuongee kwa video call
5. Umelala zako anakupigia simu usiku wa manane anaamsha anataka kujua umelala na mwanamke akiona hakuamini anakupigia video call akuone na mambo mengine mengi
Hebu tusaidianeni, sifa za hawa watu wa hii huwa wana sifa gani?