Habari za muda huu kaka, dada na wadogo zangu?
Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa kileleni katika maisha yake ya mapenzi (ila asiwe na maaizo kimaumbile). Umri wake uwe kuanzia miaka 18-35. kama akiwa na mtoto mwisho awe mmoja.
Mimi ni mwanaume rijali na nahitaji kuwa na mwanamke wa aina hii ili nimuoneshe upande wa pili wa mapenzi, ikiwa ni pamoja na kumheshimu. Kama kuna mwanamke wa aina hii tafadhali sana naomba tuwasiliane PM tuyajenge. Hata kama ulikuwa ushaona mapenzi ni mateso tu hamna raha na unataka kuchukua maamuzi ya ajabu naomba tuwasiliane. Kuwa na amani.
Vigezo vya ziada:
1. Awe mzuri wa kawaida tu
2. Awe tayari kupima HIV
3. Awe tayari kuwa kwenye mahusiano ya malengo kama tutakubaliana hilo.
4. Mi napatikana zaidi kwenye mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Kagera hivyo ni vizuri akiwa maeneo hayo au jirani.
Ndugu zangu niko serious na naomba ichukuliwe serious. Kwa atakayekuwa interesed na anaetaka kujua sifa zangu mwenyewe za ziada, muonekano, etc akaribie PM tutamamaliza kila kitu. Asanteni waungwana na siku iwe njema kwenu.
Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa kileleni katika maisha yake ya mapenzi (ila asiwe na maaizo kimaumbile). Umri wake uwe kuanzia miaka 18-35. kama akiwa na mtoto mwisho awe mmoja.
Mimi ni mwanaume rijali na nahitaji kuwa na mwanamke wa aina hii ili nimuoneshe upande wa pili wa mapenzi, ikiwa ni pamoja na kumheshimu. Kama kuna mwanamke wa aina hii tafadhali sana naomba tuwasiliane PM tuyajenge. Hata kama ulikuwa ushaona mapenzi ni mateso tu hamna raha na unataka kuchukua maamuzi ya ajabu naomba tuwasiliane. Kuwa na amani.
Vigezo vya ziada:
1. Awe mzuri wa kawaida tu
2. Awe tayari kupima HIV
3. Awe tayari kuwa kwenye mahusiano ya malengo kama tutakubaliana hilo.
4. Mi napatikana zaidi kwenye mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Kagera hivyo ni vizuri akiwa maeneo hayo au jirani.
Ndugu zangu niko serious na naomba ichukuliwe serious. Kwa atakayekuwa interesed na anaetaka kujua sifa zangu mwenyewe za ziada, muonekano, etc akaribie PM tutamamaliza kila kitu. Asanteni waungwana na siku iwe njema kwenu.