Mwanamke ambaye hajawahi kufika/kufikishwa kileleni

Habari za muda huu kaka, dada na wadogo zangu?

Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa kileleni katika maisha yake ya mapenzi (ila asiwe na maaizo kimaumbile). Umri wake uwe kuanzia miaka 18-35. kama akiwa na mtoto mwisho awe mmoja.

Mimi ni mwanaume rijali na nahitaji kuwa na mwanamke wa aina hii ili nimuoneshe upande wa pili wa mapenzi, ikiwa ni pamoja na kumheshimu. Kama kuna mwanamke wa aina hii tafadhali sana naomba tuwasiliane PM tuyajenge. Hata kama ulikuwa ushaona mapenzi ni mateso tu hamna raha na unataka kuchukua maamuzi ya ajabu naomba tuwasiliane. Kuwa na amani.

Vigezo vya ziada:
1. Awe mzuri wa kawaida tu
2. Awe tayari kupima HIV
3. Awe tayari kuwa kwenye mahusiano ya malengo kama tutakubaliana hilo.
4. Mi napatikana zaidi kwenye mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Kagera hivyo ni vizuri akiwa maeneo hayo au jirani.

Ndugu zangu niko serious na naomba ichukuliwe serious. Kwa atakayekuwa interesed na anaetaka kujua sifa zangu mwenyewe za ziada, muonekano, etc akaribie PM tutamamaliza kila kitu. Asanteni waungwana na siku iwe njema kwenu.
Tumevamiwa uku
 
ukikuta mke wa mtu ana watoto na hajawah kojozwa siku ukimkojolesha anatoroka kwa mmewe.

tafiti zinasema maskini wengi hawawezi kojoza wakn zao maana wana msongo wa mawazo hata wawapo kitandani wamawaza kupiga shoo mwenye nyumba asiskie maana atakuja kudai kodi ,hela ya taka etc
 
iko hv.. kufikishana kileleni ni ishu ya msingi sana ila haina haraka.. unaweza kupata mtu akakupenda sana na akaamua kukuambia ama kukufundiaha kabisa jins ya kumfikisha.

unatafuta wanawake wa kufanya nao ngono na ni mdau mzuri tu wa ngono zembe.

binafsi sikua najua kumfikisha mtu kileleni hapo mwanzo ila niliempata ananipenda sana amenifundihsa na nimekua mwalim kwake na nimetulia nae na nimegandana nae.

ushauri.
kama unaweza kumfikisha mwanamke kileleni. weka pages zako za maelezo kuonyesha ni kwa namna gani ama ni mbinu gani za kumfikisha.

mwisho.
uhuni sio mzuri baki na ulie nae na muaminiane. maisha sio marefu sana..pia ukumbuke kuna mungu aliekuumba na amekataza hcho unachokiamasisha.

asanteh na samahani sana kama nimekuudhi mkojoleshaji
Bravooo
 
Asubuh ya leo akinadada mliokojozwa ni wächache sana,najua jana mmepiga show na hili fukuto japo mliwasha feni mpal mwisho ila jamaa ako mla chips aliishia kukuchafua bila kugusa g-spot wala kukukojoza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom