BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,323
- 7,895
Unaogopa pmblione
naogopa mahusiano....kama unataka wa kumpiga pmb endelea kutafuta
Unaogopa pmblione
naogopa mahusiano....kama unataka wa kumpiga pmb endelea kutafuta
Ni vizuri. They keep the thread activeNaona kichwa cha juu tayari kishazidiwa maharifa na kichwa cha chini.pole Sana mkuu
Mh bado mnatongoza kwa style hii mpaka leo??Lione Mess Top Score. Kuruka ruka kwa Maharage Ndiyo Kuiva Kwake Huko Unawasha Kama Pili Pili Lol Lakini Huishi Utamu
Unafika shida hujui kileleni ni wapi!mimi hapa sijawahi kufika kileleni wala raha ya mapenzi siijui..
Matangazo mengine bwana duuuuu,Habari za muda huu kaka, dada na wadogo zangu?
Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa kileleni katika maisha yake ya mapenzi (ila asiwe na maaizo kimaumbile). Umri wake uwe kuanzia miaka 18-35. kama akiwa na mtoto mwisho awe mmoja.
Mimi ni mwanaume rijali na nahitaji kuwa na mwanamke wa aina hii ili nimuoneshe upande wa pili wa mapenzi, ikiwa ni pamoja na kumheshimu. Kama kuna mwanamke wa aina hii tafadhali sana naomba tuwasiliane PM tuyajenge. Hata kama ulikuwa ushaona mapenzi ni mateso tu hamna raha na unataka kuchukua maamuzi ya ajabu naomba tuwasiliane. Kuwa na amani.
Vigezo vya ziada:
1. Awe mzuri wa kawaida tu
2. Awe tayari kupima HIV
3. Awe tayari kuwa kwenye mahusiano ya malengo kama tutakubaliana hilo.
4. Mi napatikana zaidi kwenye mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Kagera hivyo ni vizuri akiwa maeneo hayo au jirani.
Ndugu zangu niko serious na naomba ichukuliwe serious. Kwa atakayekuwa interesed na anaetaka kujua sifa zangu mwenyewe za ziada, muonekano, etc akaribie PM tutamamaliza kila kitu. Asanteni waungwana na siku iwe njema kwenu.
factNaona umeamua kutumia weakness ya wanawake Kama rungu la kutuonea wanaume wenzio.
Nakutakia heri katika ujenzi wa taifa.
Sie tunajenga kiwanda msoga,we endelea kufurahisha wake zetu.
Axnte kwa maoni yako. Nawe ni mtu una haki ya kuckilizwaiko hv.. kufikishana kileleni ni ishu ya msingi sana ila haina haraka.. unaweza kupata mtu akakupenda sana na akaamua kukuambia ama kukufundiaha kabisa jins ya kumfikisha.
unatafuta wanawake wa kufanya nao ngono na ni mdau mzuri tu wa ngono zembe.
binafsi sikua najua kumfikisha mtu kileleni hapo mwanzo ila niliempata ananipenda sana amenifundihsa na nimekua mwalim kwake na nimetulia nae na nimegandana nae.
ushauri.
kama unaweza kumfikisha mwanamke kileleni. weka pages zako za maelezo kuonyesha ni kwa namna gani ama ni mbinu gani za kumfikisha.
mwisho.
uhuni sio mzuri baki na ulie nae na muaminiane. maisha sio marefu sana..pia ukumbuke kuna mungu aliekuumba na amekataza hcho unachokiamasisha.
asanteh na samahani sana kama nimekuudhi mkojoleshaji
Unapokea aliyeondolewa kaseja?Habari za muda huu kaka, dada na wadogo zangu?
Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa kileleni katika maisha yake ya mapenzi (ila asiwe na maaizo kimaumbile). Umri wake uwe kuanzia miaka 18-35. kama akiwa na mtoto mwisho awe mmoja.
Mimi ni mwanaume rijali na nahitaji kuwa na mwanamke wa aina hii ili nimuoneshe upande wa pili wa mapenzi, ikiwa ni pamoja na kumheshimu. Kama kuna mwanamke wa aina hii tafadhali sana naomba tuwasiliane PM tuyajenge. Hata kama ulikuwa ushaona mapenzi ni mateso tu hamna raha na unataka kuchukua maamuzi ya ajabu naomba tuwasiliane. Kuwa na amani.
Vigezo vya ziada:
1. Awe mzuri wa kawaida tu
2. Awe tayari kupima HIV
3. Awe tayari kuwa kwenye mahusiano ya malengo kama tutakubaliana hilo.
4. Mi napatikana zaidi kwenye mikoa ya Tanga, Dar es Salaam na Kagera hivyo ni vizuri akiwa maeneo hayo au jirani.
Ndugu zangu niko serious na naomba ichukuliwe serious. Kwa atakayekuwa interesed na anaetaka kujua sifa zangu mwenyewe za ziada, muonekano, etc akaribie PM tutamamaliza kila kitu. Asanteni waungwana na siku iwe njema kwenu.
kweli hii?mimi hapa sijawahi kufika kileleni wala raha ya mapenzi siijui..
Umeshafanywa mara ngap?!mimi hapa sijawahi kufika kileleni wala raha ya mapenzi siijui..