tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,478
- 17,676
Hebu fafanua vizuri mkuu. Si wameishaachana na mume wake wa zamani?? Sasa kwanini asiolewa tena? Mwacheni ampelekee mume mpya mbunye ahangaike nayo.
Wakuu leteni uzoefu
Mtu alikuwa ni mke wa mtu kwa ndoa ya kanisani kkkt, anataka kuolewa tena, na mahari itolewe imekaaje hii? walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.