Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,264
- 3,624
- Thread starter
- #21
Duuuuh wachaga wa himo hawa wanataka kuniingiza king?Huyo bado ni mke wa mtu...
Halafu unaanzaje kumtolea mahari mwanamke aliyekwisha zaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh wachaga wa himo hawa wanataka kuniingiza king?Huyo bado ni mke wa mtu...
Halafu unaanzaje kumtolea mahari mwanamke aliyekwisha zaa?
mkuu nimechanganya mada kichwani weee nisadie tuuUmeandika makorokocho
Hueleweki unataka nini
Hebu andika upya mkuu
Kuwajuza waungwana
Nini masaibu yako hasa
Bazazi
cora asante baba kwa hoja nzuriDaah yaan wewe ndio umeishiwa anyway..biblia iko wazi angekua mjane ungeoa ila kwa kua ana nfoa na mumewe yupo huyo mke wa watu..
Sasa si mke wa mtu huyo bro.Haijatolewa kabisaa, wala jamaa yaani mume wake wa kwanza kabla yangu hajafa,
Hahaha.. yaani jamaa hataki kuelewa kabisa anataka tu hapa apate justification ya kuwa mume mdogoSasa si mke wa mtu huyo bro.
Umelishwa nini Mpaka unafanya hivyo?
may beWengine wanasema nitaoa mke wa mtu, akitaka anaweza nishitaki au hata kupinga kabisa mbele ya hadhara
What part of 'till death do us apart' dont u understand...lolWakuu leteni uzoefu
Mtu alikuwa ni mke wa mtu kwa ndoa ya kanisani kkkt, anataka kuolewa tena, na mahari itolewe imekaaje hii? walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
Serikali ndo mtoa vyeti vya ndoahapana haiwezekani chini ya jua,labda mfungie serikalini
Single mom/divorcee kapata faraja mnamzibia rizq jmnHuyo bado ni mke wa mtu...
Halafu unaanzaje kumtolea mahari mwanamke aliyekwisha zaa?
We oa alafu aje jamaa mwingine akuolee mkeo ndo utaelewa picha kamilimbona unanitosha yaani kulogwa au
Wakuu leteni uzoefu
Mtu alikuwa ni mke wa mtu kwa ndoa ya kanisani kkkt, anataka kuolewa tena, na mahari itolewe imekaaje hii? walokole wamekubali, kutufungisha japo siyo waumini wao, sasa si utapeli wa kichaga huu kweli? au nioe tu, nimempata humuhumu member wa long time JF.
FUATA HUU USHAURI...Mshauri huyo maanamke atafute talaka kwanza, baada ya hapo unaweza kumuoa, haijalishi ni talaka ya wapi, hata ya mahakamani inatosha.
Makanisa hasa RC wamekuwa wagumu sana kwenye talaka, ila KKKT wako very understanding kwenye hizo issue za divorce.
Akiwa na talaka, na kama kuna kanisa litakuruhusu kufunga ndoa, funga, na hiyo ndoa itakuwa halali kabisa.
Watakuloga mkuu mkuyenge usifanye kazi!mbona unanitosha yaani kulogwa au
Eeeeeeh kumbe mwanamke aliyezaa tayar halipiwi mahariHuyo bado ni mke wa mtu...
Halafu unaanzaje kumtolea mahari mwanamke aliyekwisha zaa?