JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Kuna jamaa anaomba ushauri kwani kwa sasa yupo na dailema kuna manzi wawili anafikiria kuoa.
Manzi wa kwanza alikua nae miaka kadhaa nyuma kwa miaka kadhaa then manzi huyo akapata jamaa mwingine akamuacha msela akazaa na jamaa mwingine kisha huyo jamaa mwingine wakatemana manzi akabaki na mtoto wa jamaa mwingine.
Baada ya msela kuachwa na manzi wa kwanza msela akapata manzi mpya ila sasa huyu manzi yeye ana mtoto kutoka kwa mahusiano yake yaliyopita.
Tatizo yule manzi wa kwanza baada ya kupewa mimba kisha kuzaa na kuachika kule alikoenda na kumuacha msela, kwa sasa anataka kurudi kwa msela na kutaka wafunge ndoa eti alipitiwa eti alijua engeolewa eti msela alikua anamchelewesha ndo akamuacha sasa ameona amekosea na anataka kurudiana na msela wafunge ndoa.
Sasa msela anahitaji ushauri afunge ndoa na yule manzi wa kwanza aliyemuacha na kwenda kuzaa na jamaa mwingine au afunge ndoa na manzi mpya ambaye nae ana mtoto kutoka relashenshipu yake ya huko alikotokea.
Tatizo wote wana watoto sasa yupi ana afadhali kati ya hawa manzi wawili ili jamaa afunge ndoa?. Ushauri.........
Manzi wa kwanza alikua nae miaka kadhaa nyuma kwa miaka kadhaa then manzi huyo akapata jamaa mwingine akamuacha msela akazaa na jamaa mwingine kisha huyo jamaa mwingine wakatemana manzi akabaki na mtoto wa jamaa mwingine.
Baada ya msela kuachwa na manzi wa kwanza msela akapata manzi mpya ila sasa huyu manzi yeye ana mtoto kutoka kwa mahusiano yake yaliyopita.
Tatizo yule manzi wa kwanza baada ya kupewa mimba kisha kuzaa na kuachika kule alikoenda na kumuacha msela, kwa sasa anataka kurudi kwa msela na kutaka wafunge ndoa eti alipitiwa eti alijua engeolewa eti msela alikua anamchelewesha ndo akamuacha sasa ameona amekosea na anataka kurudiana na msela wafunge ndoa.
Sasa msela anahitaji ushauri afunge ndoa na yule manzi wa kwanza aliyemuacha na kwenda kuzaa na jamaa mwingine au afunge ndoa na manzi mpya ambaye nae ana mtoto kutoka relashenshipu yake ya huko alikotokea.
Tatizo wote wana watoto sasa yupi ana afadhali kati ya hawa manzi wawili ili jamaa afunge ndoa?. Ushauri.........