Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,487
- 1,651
asante ndugu kwa kunisaidia...laiti kama angejua hili tatizo linavyowasumbua dada zetu hawa asingediliki kuandika hicho alichokiandika...basi asamehewe tu
Ukitaka kujua undani wa hilo tatizo uwe umetokea mikoa ambayo mambo hayo ya ukeketaji hufanyika huyo atakuwa hajui...! Mkuu
Na hajiulizi ni kwanini ukeketaji unapigwa vita sana na pia amesahau mtu aye uza mirungi hapa kwetu tz anavyo sakwa ni sawa na mtu anayekeketa wote watajikuta jera moja ila kesi tofauti..!!!!