miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,466
- 8,281
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kuumizwa na wanawake kisa wema wao walio watendea, na kuja kulalamika na kulia lia huku JF.
Wanaume wenzangu naomba kuanzia leo mtambue kuwa mwanamke akitangaza vita jua kamaanisha vita sio suruhu.wanaume tunafeli sana yaani mwanamke katangaza kiama wewe unaanza kujifanya good boy sijui unajikuta ndio unajua kubembeleza na kujiita jenteomen haki ya mungu nakwambia wewe ni boya. Na utaishia kuchezewa na wanawake maisha yako yote wakati wenzio wanawatawala na kuwaendesha wewe maisha yako hayana raha, yaani hadi raha ya dunia huioni kisa mwanamke. WANAUME Tumekuwa wapuuzi na wazembe kupita maelezo.....yaani utakuta mwanaume umejikamilisha kila kitu alafu hauna furaha kisa mwanamke wewe ni mpuuzi hujitambui.
Ujentromen upo lakini sio kwa wanawake hawa tulio nao leo wasio na shukrani wamejaa upuuzi tu vichwani.
Inatakiwa mwanamke akikutangazia vita tu muoneshe rangi zote hadi zile ambazo hajawai ona yaani akimwaga mboga wewe binua meza nzima hadi maji ya kunawa no one cares. Akijifanya kuchepuka na wewe nenda katembeze rungu kwenye familia yake hadi akikuona aone amekutana na zombi sio kunza kulialia kama mtoto. Usihofie heshima sijui utavunjika hiyo heshima unamuwekea nani na kwa ajili gani...mbona wakina trump ni wapuuzi lkn leo ni rais wa dunia......acha kuendekeza majonzi ya kipuuzi kisa mwanamke asie jitambua.
Kwanini uishi kwenye gereza kwa jina la ndoa,uchumba,love sijui nini nini kama mwanamke hafiti viatu vyako fukuza leta mwingine kwa nini ukose aman kisa mwanamke mmoja asie jitambua.
Jaman tumechoka kusikia vilio vya wanaume humu tunataka mabadiriko na nyie viboy mnao chipukia na barehe zenu humu hii pia inawahusu.
Ndio maana saizi imefika hatua mwanamke hana chochote anacho wekeza kwenye mahusiano yenu za ya k yake alafu wewe umewekeza kila kitu hadi biashara zako mwisho wa siku unaendeshwa na hicho kimwanamke utafikiri punda kisa eti unakula ki k chake wewe ni fala la mwisho.
Wanaume wengine mnajidhuru miili yenu eti ili umridhishe mwanamke wewe ni kenge kama kenge wengine alie kwambia mwanamke anarizika nani...? We endelea kujirisha hayo sijui madawa ya kongo sijui nini nini huko.
Mwanaume ishi maisha yako mwanamke ndio aje aombe kuishi maisha yako akishindwa kuishi maisha yako asepe aachie atakae weza.
Am done.....povu ruksa
Wanaume wenzangu naomba kuanzia leo mtambue kuwa mwanamke akitangaza vita jua kamaanisha vita sio suruhu.wanaume tunafeli sana yaani mwanamke katangaza kiama wewe unaanza kujifanya good boy sijui unajikuta ndio unajua kubembeleza na kujiita jenteomen haki ya mungu nakwambia wewe ni boya. Na utaishia kuchezewa na wanawake maisha yako yote wakati wenzio wanawatawala na kuwaendesha wewe maisha yako hayana raha, yaani hadi raha ya dunia huioni kisa mwanamke. WANAUME Tumekuwa wapuuzi na wazembe kupita maelezo.....yaani utakuta mwanaume umejikamilisha kila kitu alafu hauna furaha kisa mwanamke wewe ni mpuuzi hujitambui.
Ujentromen upo lakini sio kwa wanawake hawa tulio nao leo wasio na shukrani wamejaa upuuzi tu vichwani.
Inatakiwa mwanamke akikutangazia vita tu muoneshe rangi zote hadi zile ambazo hajawai ona yaani akimwaga mboga wewe binua meza nzima hadi maji ya kunawa no one cares. Akijifanya kuchepuka na wewe nenda katembeze rungu kwenye familia yake hadi akikuona aone amekutana na zombi sio kunza kulialia kama mtoto. Usihofie heshima sijui utavunjika hiyo heshima unamuwekea nani na kwa ajili gani...mbona wakina trump ni wapuuzi lkn leo ni rais wa dunia......acha kuendekeza majonzi ya kipuuzi kisa mwanamke asie jitambua.
Kwanini uishi kwenye gereza kwa jina la ndoa,uchumba,love sijui nini nini kama mwanamke hafiti viatu vyako fukuza leta mwingine kwa nini ukose aman kisa mwanamke mmoja asie jitambua.
Jaman tumechoka kusikia vilio vya wanaume humu tunataka mabadiriko na nyie viboy mnao chipukia na barehe zenu humu hii pia inawahusu.
Ndio maana saizi imefika hatua mwanamke hana chochote anacho wekeza kwenye mahusiano yenu za ya k yake alafu wewe umewekeza kila kitu hadi biashara zako mwisho wa siku unaendeshwa na hicho kimwanamke utafikiri punda kisa eti unakula ki k chake wewe ni fala la mwisho.
Wanaume wengine mnajidhuru miili yenu eti ili umridhishe mwanamke wewe ni kenge kama kenge wengine alie kwambia mwanamke anarizika nani...? We endelea kujirisha hayo sijui madawa ya kongo sijui nini nini huko.
Mwanaume ishi maisha yako mwanamke ndio aje aombe kuishi maisha yako akishindwa kuishi maisha yako asepe aachie atakae weza.
Am done.....povu ruksa